Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndo hapo ss, markets zmejengwa lkn hazitumiki mana ake nn ss, machinga complex pekee ingeweza ku accommodate hawkers wote wa pale karume na hawa wa mtaa wa kongo na bado isijae lkn tunaendekeza upuuzi wa kuvumilia ujinga tu, leo asubuhi wkt nipo kkoo nkawa najiuliza huu upumbavu utaisha lini huu wa pedestrian kupishana na magari? Bahati nzuri mchana likapita tangazo lile lile nililolisubiri.

Nawapenda hawkers lkn hili la kujenga vibanda barabarani hapanaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kitu ya hawa "wafanyabiashara wadogowadogo" inahitaji some serious economic planning. Bahati mbaya bro Magu hakuwa muumini mzuri wa planning. Alikuwa tu genius kivyake akijaribu kusafisha kwanza nyumba. Hivyo yeye aliamua tu kujikita na kutengeneza enabling environment halafi kila mmoja atajijua anakula wapi! That wasn't good but wasn't very bad either.

Hawa awamu ya 4 version 2.0 ni waumini wa planning ila the bad thing ni kwamba hawana utashi wa kufanya planning. Hii siyo tu mbaya bali mbaya sana.

Ubaya ni kuwa baada ya kuwatoa hao machinga barabarani, serikali haina mahali sahihi pa kuwaweka! (Hakuna kitu kama machinga complex au market kinaweza fanya kazi).

Given udhaifu wa serikali na rushwa hili suala litaishia kuleta violence. Rejaea ilivyokuwa awamu ya 4 version 1.0.

Approach ya Magu haikuwa the best ioa with time uchumi ungefunguka na ingekuwa rahisi kupata production activities za kuwafyonza hawa watu taratibu. Japo ingechukua muda mrefu ila tatizo lingeisha naturally kama lilivyoanza hasa ikizingatiwa kuwa tatizo la ajira na uchache wa fursa (zilizofunguliwa) ndivyo vyanzo vikuu vya tatizo hili.

Nini sasa namna sahihi ya kutatua tatizo hili?

Simple:

Biashara/shughuli zote za uzalishaji zirasimishwe na zisajiliwe kwa official licence.

Mfumu huu uwe controlled. Kwa mfano, kama stendi ya Magufuli inahitaji machinga 200 kwa migawanyo tofauti tofauti (vocha, matunda, vifungashio, nk) basi leseni zitolewe hizo 200 tu mpaka itakapopangwa vinginevyo.

Biashara yafaa kuwa huria lakini idhibitiwe.

Kusajili kila biashara haimaanishi zote lazima zilipe kodi ya mapato. Unaweza kumpa machinga leseni na mashine ya kodi ya kielektroniki lakini ukampa pia msamaha wa kodi ikiwa ni inafaa.

Hapo si tu utakuwa umetatua tatizo la biashara holela bali pia utakuwa umetatua matatizo ya VAT kwani miamala yote itakuwa electronic hivyo kuweka takwimu sawa.

Serikali ije na mipango thabiti ya kuzifungua sekta zinazoajiri watu wengi; kilimo, viwanda vya nguo, viwanda vidogovidogo, utalii, sanaa na michezo, nk.

Vinginevyo kuwaondoa barabarani bila kuwapeleka mahali sahihi kutaishia tu kuleta unrests zisizoisha.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kule wanashobokea sana wakenya nenda utengeze dooh.
Nipatie tafsiri ya bendera ya Kunyaland
1620468782485.png
 
Mataga bana
Yani hapo ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa, yani mpuuzi anataka kusema hizo nyumba ni za $70k

Kwaheri mjomba, endelea pekeakoView attachment 1777307
Alafu anafikiri watu ni wajinga. Anasema eti watu wamenunua hizo nyumba, wakazibomoa na kujenga maghorofa. Hayo maghorofa yako wapi kwenye hilo eneo? Ama ziko tu kwa akili yake? 😂 😂
 
Sikatai maneno yako. Ujenzi wa nyumba inategemea na uwezo wa mtu. Kuna wenye wako na uwezo zaidi kuliko wengine. Lakini ukiangalia picha nyingi za juu (aerials) za mitaa za Dar, ni dhahiri kwamba wengi bado hawana huo uwezo wa kujijengea nyumba nzuri. Sema tu bora mtu awe na nyumba Dar ila quality ni ya chini na pia hakuna mpangilio wa ujenzi
Kabla hukataka kutwambia kuwa wabongo wengi hawana uwezo wa kujijengea nyumba nzuri kuliko wakenya fikiria hii fact: Nyumba nyingi Kenya (hasa mijini) hujengwa na kumilikiwa na makampuni binafsi ya real estates ilhali huku kwetu ni nyumba chache za aina hiyo. Asilimia kubwa ya nyumba hujengwa na wamiliki wenyewe. Kenyans wengi wanaoishi kwenye nyumba kali wamepanga tofauti na huku. Only a few individuals own most of your high standard residences.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyo mzee wa mwisho ndo huyu kasimama hapa kati?View attachment 1777028

kitu iko full.. na gharama yake lazima iwe kubwa zaid ya ilivyo kawaida,
Sasa heshima imerudi. Mbali na economics hizi kitu huleta heshima hasa ikiwa umenunua kwa cash money. Hakuna jirani hapa EA anaweza fanya hivi. Zingine 2 kama hizi tumeagiza juzi kati hapo. Mind you bei yake ni $224.6m each. Ile ya mizigi B767-300F yenyewe ni $220m.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atcl wangeingia makubaliano na etihad zile airbus zipige route ya abu dhabi,etihad sasa hivi aifikii dar inaishia nairobi so abiria wa abu dhabi inabidi waunganishe ndege,halafu nilichogundua hata route ya tel aviv si mbaya kwetu japo kwa wiki mara 1,ina abiria wetu wengi sana ila wanapanda ethiopia airline

Good idea code sharing ..ngoja tuone a220s nyingne zikija next year
 
Back
Top Bottom