Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ngoja nimtag msemaji wa serikali ya Kenya a.k.a Bwana Mapesa mana kila siku anaumbuka lkn hakomi, Teargas natumai nmefanya km ulivyotaka
JamiiForums-259175472~2.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
For the second time bongolala, mjadala ilikuwa inahusu eneo la Ubungo flyover. Kwa jinsi ulivyo kilaza umekimbia hadi Kariakor kuleta picha angalau upate afueni!
😁😁😁 kaleta estate za mabwana zao warabu kumbe hajui kenya ndo zimejaa tele. Waombeeni waache uvivu watoke uswahilini
 
Back
Top Bottom