Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hiyo ni ilala,bati tu hizo zinawatisha,hapo bei ya nyumba inaanzia usd elfu 70,msilinganishe kabisa na ule uchafu wenu
Bati la mia tano hilo ndio lije lipigiliwe katika nyumba ya $70k, hivi tena unajiskia
Yani unafikiria utamdanganya nani kizembe hvo, emu jifikirie wewe na uache mienendo ya ki mataga mataga
 
Bati la mia tano hilo ndio lije lipigiliwe katika nyumba ya $70k, hivi tena unajiskia
Yani unafikiria utamdanganya nani kizembe hvo, emu jifikirie wewe na uache mienendo ya ki mataga mataga
Ilala hiyo wewe dada,bati tu zinakutisha na hizo nyumba sasa hivi zinaishia wenye pesa zao wananunua hayo maeneo sababu ya biashara
 
Alafu ukimaliza kunyambanyamba jua tuu Tz tunadunda...mafiii ww...akili kisoda....vile takataka imevimbiwa JpmView attachment 1777266View attachment 1777267
Huyo kigogo ana interest zake na kenya,alimsakama sana magu,mama sasa hivi kaanza kumsakama tena lkn kama utanotice ziara ya mama kunyaland kigogo kajifanya kuipotezea kimtindo,jana anaponda mama kukutana na wazee!
 
Ilala hiyo wewe dada,bati tu zinakutisha na hizo nyumba sasa hivi zinaishia wenye pesa zao wananunua hayo maeneo sababu ya biashara
Mbona umeanza kujiumauna jomba, lkn nadhani ukweli umekuingi..manake ulitaka kudanganya peupe, eti nyumba ya $70k bati la mia tano
 
Mbona umeanza kujiumauna jomba, lkn nadhani ukweli umekuingi..manake ulitaka kudanganya peupe, eti nyumba ya $70k bati la mia tano
S70k hapo nilipunguza tu,ilala nyumba zinauzwa zaidi ya pesa hiyo,na wanaonunua hapo wananunua kiwanja kwani wanavunja hizo nyumba na kujenga ghorofa,na kuhusu muonekano wa roof usikutishe,hapo ni mitaa ya kueleweka dada
 
S70k hapo nilipunguza tu,ilala nyumba zinauzwa zaidi ya pesa hiyo,na wanaonunua hapo wananunua kiwanja kwani wanavunja hizo nyumba na kujenga ghorofa,na kuhusu muonekano wa roof usikutishe,hapo ni mitaa ya kueleweka dada
Mataga bana
Yani hapo ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa, yani mpuuzi anataka kusema hizo nyumba ni za $70k

Kwaheri mjomba, endelea pekeako
images.jpeg-7.jpg
 
Najua hufafika Nairobi ila kukujulisha tu ni kwamba apartments ziko kila mahali Nairobi just the same way nyinyi pia mko na dream houses kila mahali Dar. Kando na mitaa za kifahari kama Karen, Muthaiga, Runda et al, apartments are everywhere you look, especially in Eastlands
Umekunywa maji?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • VID-20210508-WA0004.mp4
    21.2 MB
Back
Top Bottom