Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwalimu Nyerere Memorial Hospital ..Zonal Hospital Musoma 650beds
IMG_1024.jpg
 
You don't have international routes to China. Why do you like forcing things?
View attachment 1669800
Takataka zenye wivu huwa mnaaibika mapema sana na huwa hamkomi
Amini unachokiamini.

Yaani ATCL kuwa na international routes ya Guangzhou imekuuma kweli kweli na bado.

Hivi tukianza kuja Nairobi si utanyeesha mwezi mzima!
Tag me siku Any Time Cancellation Limited itafika China

View attachment 1669803


Alafu muache kununua ndege za mitumba

View attachment 1669811
Ana wivu wa kishamba kinoma yaani kinachomuuma ni ATCL kupewa kibali cha kwenda Guangzhou
Sasa unajua zaidi kuliko watu Air Tanzania wenye wamesema kuwa hakuna ndege ya kuenda Guangzhou?

View attachment 1669818
ATCL wana kibali cha kwenda Guangzhou China ila bado hawajaanza kwenda.

Sielewi ni nini unabisha!
Wivu wa kishamba.
Kibali sio issue, issue ni kuenda huko. Kuna hata wenu moja anajua penye Guangzhou iko?
So unadhani ATCL waliomba kibali cha kwenda Guangzhou kimakosa?

Kama ATCL inaenda Mumbai India nini itazuia wasiende Guangzhou China?

Punguza wivu wa kishamba.
Tag me the day your planes will land in China

View attachment 1669832
huyo mzee wa mwisho ndo huyu kasimama hapa kati?View attachment 1777028

kitu iko full.. na gharama yake lazima iwe kubwa zaid ya ilivyo kawaida,
 
Back
Top Bottom