ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Mombasa ipi unaongelea bwana ushuzi🤣🤣 mombasa ipi ?? Ya joho auNi uchafu bado, unafichika tu kwa picha za mbali Ila ukiwa on ground unauona tena Sana. Ni kama tu Mombasa.
Mombasa ipi unaongelea bwana ushuzi🤣🤣 mombasa ipi ?? Ya joho auNi uchafu bado, unafichika tu kwa picha za mbali Ila ukiwa on ground unauona tena Sana. Ni kama tu Mombasa.
Miradi kama hii sikuhizi Kenya unaipata kwa mini midogo midogo kama Thika, Eldoret, Athi River n.k. Mombasa na Nairobi zilijengwa tukazizoea.Nafurahi jinsi mnashtukishwa na miradi kama hizi. Huku tumeziona tukachoka jamani
kila nyumba unayoina dar iwe ni nzuri ama mbaya inadepend na uwezo💰💵wa mjenzi, usitake tuanze kurudia haya mambo kila siku inachosha bro, zimewekwa tayari nyumba kibao tu humu nzuri 🤦🏿♂️Nyumba mnazojijengea Dar tunazijua ndugu. Hakuna kitu kizuri hapa, ukweli usemwe tu japo ni sumuView attachment 1776880
Hapa hamna kitu broNyumba mnazojijengea Dar tunazijua ndugu. Hakuna kitu kizuri hapa, ukweli usemwe tu japo ni sumuView attachment 1776880
.Kwa hivyo ile picha nilileta sio ya Dar? Na kama ni Dar si hayo ni nyumba za watu walizojijengea?Hapa hamna kitu bro![]()
Watu tunaishi mitaa kama hii View attachment 1776890
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Yani nimefurahi am so proud 😍😍😍Maiden Flight,
Nyomi la ATCL.
View attachment 1776892
View attachment 1776893
View attachment 1776894
Unazama uchinani nnMaiden Flight,
Nyomi la ATCL.
View attachment 1776892
View attachment 1776893
View attachment 1776894
Teargas ulisema nikutag na nimefanya hvo🤣Maiden Flight,
Nyomi la ATCL.
View attachment 1776892
View attachment 1776893
View attachment 1776894
Ni Dar mitaa ya uswahilini...uko tunajua hakuna ustaarabu lakin sio eti DAR yote ndio iko ivyo hapanaKwa hivyo ile picha nilileta sio ya Dar? Na kama ni Dar si hayo ni nyumba za watu walizojijengea?
kudadekiMaiden Flight,
Nyomi la ATCL.
View attachment 1776892
View attachment 1776893
View attachment 1776894
Sikatai maneno yako. Ujenzi wa nyumba inategemea na uwezo wa mtu. Kuna wenye wako na uwezo zaidi kuliko wengine. Lakini ukiangalia picha nyingi za juu (aerials) za mitaa za Dar, ni dhahiri kwamba wengi bado hawana huo uwezo wa kujijengea nyumba nzuri. Sema tu bora mtu awe na nyumba Dar ila quality ni ya chini na pia hakuna mpangilio wa ujenzikila nyumba unayoina dar iwe ni nzuri ama mbaya inadepend na uwezo💰💵wa mjenzi, usitake tuanze kurudia haya mambo kila siku inachosha bro, zimewekwa tayari nyumba kibao tu humu nzuri 🤦🏿♂️
Sijasema Dar yote iko hivyo ila asilimia kubwa ya Dar iko hivyo na hapo utakubaliana namiNi Dar mitaa ya uswahilini...uko tunajua hakuna ustaarabu lakin sio eti DAR yote ndio iko ivyo hapana
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Nashangaa vile hawa watu wanizishabikia. Hata Kisumu ziko nyingi sana. Even smaller towns like Kisii and Embu are embracing the trend. Wenzetu wako nyuma lakini!Miradi kama hii sikuhizi Kenya unaipata kwa mini midogo midogo kama Thika, Eldoret, Athi River n.k. Mombasa na Nairobi zilijengwa tukazizoea.