Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,389
- 5,792
Sio double stack??
What a waste and its ugly
Sio double stack??



The first hostess in the pic looks nicehuyu mdada, mtoto wa mwakasege kumbe ndo alikuwa pilot wa safar ya mama kenya
View attachment 1777035
Step in the right direction, keep it up.Mwanzo mgumu but si haba,kitu on the to ghuangzhou
View attachment 1777036
View attachment 1777037
View attachment 1777038
Unachokitafuta utakipata. Subiri dawa yako naichemsha. Leo nipo free kushughulikia mungiki.
Hayo maumivu yote aliyonayo yamesababishwa na ATCL kuanza kwenda GuangzhouUnachokitafuta utakipata. Subiri dawa yako naichemsha. Leo nipo free kushughulikia mungiki.



Ujenzi wa Hii hospitali niliukuta 2010 wakati wa jk....lakini aukuisha takribani miaka 6...ilikuwa ni maeneo hatari sana kupitia maeneo ya hiyo hospital kwani liligeuka kuwa jumba la wazee wa ngwasuma....ukipitia tu wana wewe ...hadi naondoka 2017...ndo walianza kujenga tena.....respect JPM...ni bonge la hospital...miaka michache ijayo itakuwa miongoni mwa hospitali kubwa nchini na upande wa ukanda wa Z.victoriaMwalimu Nyerere Memorial Hospital ..Zonal Hospital Musoma 650bedsView attachment 1776993
Hii ndio inaitwa ushabiki/uzalendo sasa☝️ V/s 👇.. 😂😂 yani ni kulinganisha madarasa na nyumba za kuishi kweli .. .? Kenyans hamuoni aibu 😂😂
Sema tu hupendi kuona hizo dream houses zenu zilizotapakaa kila mahali
Sasa freight train ifuate nn kwenye main station Ya abiria? Kichwa kikubwa akili peanutSio double stack??
What a waste and its ugly
Nilitaka niandike hivi nikakukumbuka ni ile takataka ikabidi niachane nayo!Sasa freight train ifuate nn kwenye main station Ya abiria? Kichwa kikubwa akili peanut
Najua hufafika Nairobi ila kukujulisha tu ni kwamba apartments ziko kila mahali Nairobi just the same way nyinyi pia mko na dream houses kila mahali Dar. Kando na mitaa za kifahari kama Karen, Muthaiga, Runda et al, apartments are everywhere you look, especially in Eastlands
Nashangaa leo wametoa wapi nguvu za kushabikia dormitories. Hypocrites kabisa!Tanzanians who comment on the Kenyan section of jamii forums are majorily FOOLS and Hypocrites.
nikiona hii miradi huwa namkumbuka sana Magu. Mungu amsaidie mama kimaono, afanye makubwa zaid ya aliyofanya Magu
hizi hospitali mbili tu tushapata beds 1100
Hivi Arbus zetu haziwezi fika China?