passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,527
- 12,507
Ndo shida ya Sisi waafrika badala ya kusaidia twende mbele tunashindana Nani zaidi wakati wote bado tunasafari ndefu.Dar vs Nairobi ni upuzi mtupu, miji yenyewe ni vitongoji duni huku Nairobi ikiongoza kwa Sluums na maskuota.
Tuzidi kushindana tu badala ya kusaidiana.



