Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sisi hatuwezi fananishwa na failed state hio sahau uhuru alishaua kenya sasa mulichobakia ni kuuza nchi tu na hakuna kingine 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Bongolala pia Babu zenu walisemanga hivo😛 Mkishindwa kufanya kitu munaingilia hiyo hiyo kitu,Kama hamna hamna and just agree your Country is a shitty Holy country
 
Pia democracy ni ghali sana, ichaguzi hugharimu pesa nyingi sana ambazo kwa miaka 10 laiti zingewekwa zingesaidia kufanya mapinduzi makubwa sana kiuchumi na huduma za kijamii

Badala ya kufanya uchaguzi wa viongozi nchi mzima ni bora tungeajiri viongozi kwa mfumo madhubuti wa usahili kwendana na elimu na uzoefu then kuwe na chombo madhubuti kinachowafuatilia utendaji kazi wao na kiwe na mamlaka ya kimfukuza kazi na kumshtaki pale atakapokwenda kinyume na maadili ya kazi na kutenda makosa na miiko ya kazi.

Tatizo Africa akili zipo kwa wazungu
Bado unarudi pale pale kw demokrasia[emoji23][emoji23] yani achaguliwe tena afukuzwe km nyie hamtaki demekrasia
 
Bongolala pia Babu zenu walisemanga hivo😛 Mkishindwa kufanya kitu munaingilia hiyo hiyo kitu,Kama hamna hamna and just agree your Country is a shitty Holy country
Leta ushahidi kua walisema ?? Tatizo lenu munafkiri tanzania ni mshindani wenu 🤣🤣 na sasa kenyatta kaua nchi imebakia kuuza nchi tu
 
Yaani wakenya kuna vichaa
FB_IMG_1617874333122.jpg
 
Mimi huku nilipo kuna kipindi nilikua nawagonga watoto wa kikamba na kikuyu vibaya mno,na washkaji zangu wakenya huku wenyewe wanatoswa na dada zao lakini kwa sisi wa TZ kama kumsukuma mlevi vile,wanatupenda sana [emoji3]
Sasa hao kwako ndio watoto wakali[emoji23][emoji23]wakamba bana, mkuu mbona unajishusha hadhi bana..
Yani usione kule kujisifia kupendwa kote kumbe ni wakamba utakuja kutaja..

Km ni mkikuyu usitulishe matangopori hapa, wale wapo ki maslahi zaidi
 
Mabeberu tena, kwn vipi[emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa wanashangaa kimtindo,ton 1 ya heroin kwa jeshi la africa how loyalty wasiweze kupigwa bribe ya maana wakawaachia hao drug dealers,hata DEA wenyewe pesa ambayo wangetaziwa hapo wangewaachia tu,TPDF ni jeshi lenye nidhamu ya hali ya juu si wa kulinganisha na wauza mkaa wenu wa kule somalia
 
Sasa hao kwako ndio watoto wakali[emoji23][emoji23]wakamba bana, mkuu mbona unajishusha hadhi bana..
Yani usione kule kujisifia kupendwa kote kumbe ni wakamba utakuja kutaja..

Km ni mkikuyu usitulishe matangopori hapa, wale wapo ki maslahi zaidi
Nishakula wote hao,siku toka kenya hapo halafu ukutane mbongo nje afrika hata wewe utatoa tu kwa mbongo
 
Back
Top Bottom