Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Towers karibia zote Kenya zinajengwa na private sector, wakati wa boom ya majengo marefu Tanzania kipindi cha Kikwete mingi ilikua miradi ya NSSF na NHC.
Kwa Kiasi Fulani nakubaliana na wewe hapa. Sekta binafsi Tanzania sio kubwa kama Kenya. Na hata hivyo skyscrapers nyingi Dar zilikuwa proposed wakati wa Kikwete. Ila ni kweli kuwa miradi ya serikali ya real estate imepata ajali. Angalieni hata ile 5 star hotel ya Mwanza inayojengwa na NSSF! Jengo mpaka leo halijaisha!
 
Kwamba game ya nyoka [emoji216] izidi ets2, hivi unaijua ets2 au unaropoka tu, hiyo game katuni ushawahi wekwa humu na tukacheka sana na haiwezi kuwekwa tena humu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumefanya kitambo, na tuna upgrade bado. Nyinyi ndio mwanzo, bado sana. 😂 😂 😂
 
Msalaba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inavyovkueashaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]unajiskiaje[emoji39][emoji39]
JamiiForums1912816310.jpg
 
Back
Top Bottom