Ukiwaona twitter wanatia huruma wengine huku wanajipa matumaini🤣🤣🤣
Hawa watu ni brainwashed.Wapuuzi kama hawa wanahitaji kufunga midomo!
Ndiyo sababu span ya daraja imeongezeka from 85m daraja la zamani to 510m kwa hili jipya.
Wale wanaouliziaga kipande cha kwenda bandarini, bila shaka wanaweza kuiona kwa mbali outlet ya kuelekea bandarini.Mpe na hii aenjoy[emoji3][emoji3][emoji3]
View attachment 1771129
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kifurushi bado kipo kwenye pipeline Dar Mwanza
View attachment 1771205View attachment 1771206
Meanwhile north
View attachment 1771208
Akili kubwa sana. Hili jukwaa lina vichwa aisee. You said it all.No slums in Bongo, what we are having is unplanned settlements.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tumo kwenye World Cup qualifiers...
MY TAKE
Roho inauma badala ya sie kuutumia kwenye World Cup Qualifiers tunaukodisha kwa vile hatumo kwenye qualifiers! [emoji2297]
Na sjakataa TZ ziko Minerals,Pia Kenya ziko,Almost all Africa Countries pia Ziko Minerals,People are now taking serious Minerals si kama KitamboWacha upumbavu unless unajua minerals that Tanzania has too! Aside gold, diamonds and tanzanite and few gemstones! Most minerals around 99% r laying below the ground! Right now nickel, titanium, graphite n strategic metals like manganese, Nobium, coltan n Helium, r being worked out because they r needed for electric cars!
Nani kakwambia yetu haiwezi kuwekwa Stima,aki ya Nani TZ ni Mabongolala,SGR yetu inaweza enda na Diesel ama Stima,tukitaka tutafix polls za Stima it's just that Simple🤣🤣🤣🤣🇰🇪🔥🔥Siyo za diesel,design ya kisasa.only modern sgr in East afrika.
Tulijenga ya Kupita Mizigo and Tourism pia😛Yani inapita juu kwa juu kwenye Pori pia🇰🇪🔥🔥[emoji23][emoji23]hivi hizi nguzo mlijenga kwa ajiri ya train peke yake au mnatarajia kupitisha meli hapo juu[emoji38][emoji38].
msuli tembo matokeo mbu.
🤣🤣Hapo ni Binguni walai
Sometimes huwa nadhani kwamba huenda huyu mkali aliamua kutuacha makusudi ili akae pembeni aone kama kweli tulikuwa na upendo naye kama yeye alivyotupenda kiasi cha kujitoa sadaka kwa ajili yetu. Ila naamini majibu ameyapata.
ATI Nini No,Si tunawaonanga Mafala why lie90% ya Wakenya wana wish kuwa Watz usione hawa wa humu wanajifanya kutunisha misuli lkn wao pia wangependa kuwa Watz. Nani asiyependa kuishi nchi ambayo haina vita, haina ukabila, haina madhoruba dhoruba ya kidunia, yenye mshikamano na upendo km hii?
Sent using Jamii Forums mobile app
Let me tell you Hampendwi Mafala,Mtaporwa kila kitu Mkicheza,Cheza na waschana wa Kenya😛🤑Mimi huku nilipo kuna kipindi nilikua nawagonga watoto wa kikamba na kikuyu vibaya mno,na washkaji zangu wakenya huku wenyewe wanatoswa na dada zao lakini kwa sisi wa TZ kama kumsukuma mlevi vile,wanatupenda sana 😀
Pilot boat ndio kitu ya kujisifia wakat sisi tunatengeZA MELI kubwa east africa MV mwanza 🤣🤣🤣🤣Vipi hapa kazi tu 1 & 2 zinafanya kazi? Hatujasahau pilot boats, zinakuja, ekeni hela yetu vizuri, dadeki! 🤣
Kenya ina mineral gani 🤣🤣 au unafkiri muogokaa na miraa ya mmeru pia ni mineralsNa sjakataa TZ ziko Minerals,Pia Kenya ziko,Almost all Africa Countries pia Ziko Minerals,People are now taking serious Minerals si kama Kitambo
Haiwezi na haitakua mpaka yesu ashuke 🤣🤣 ridhikeni na kitu mulichopata kwa sasaNani kakwambia yetu haiwezi kuwekwa Stima,aki ya Nani TZ ni Mabongolala,SGR yetu inaweza enda na Diesel ama Stima,tukitaka tutafix polls za Stima it's just that Simple🤣🤣🤣🤣🇰🇪🔥🔥