Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Guys, it’s very toxic kama nitaendelea “kuwakwaza” kwa maoni yangu ambayo ni kinyume na yenu.

Birds of a feather flock together. Kwa hiyo siwezi kujihusisha na watu ambao clearly hatufanani mawazo.

Ni vyema kama nikiwaacha muendelee na “uzalendo” wenu.

Nina mambo Mengi tu ya kuni-keep busy kila siku kuliko kukwazana na “wazalendo”

Kwa hiyo hii ni kwaheri. Sio kama enzi zile, no. This time I’m not coming back.

Kwa jinsi hii nchi ilivyo kwa sasa ni ngumu kuwa na mawazo tofauti na wengi
Wenu na bado nikachukuliwa kama mtu mwenye akili timamu. Wengine hadi mnasema mimi sio mzalendo.

Tafakarini maana ya uzalendo kabla ya kulitumia Hilo neno kila wakati. Uzalendo sio kufanana kifikra, Bali ni mapenzi kwa nchi yako kwa Hali na Mali, hata kama mawazo yako hayatafanana na wengi.

Haya, kwaherini.
Bora umejishtukia maana hili jukwaa si mahali sahihi wewe kuwepo.
 
Wataalamu wanasema ulitoka upepo kusikojulikana ukaenda kukifukuzia mbali kimbunga Jobo, hii nchi ni zaidi ya tunavyoijua, leo hii Wakenya na dunia kwa ujumla hawaamini kwamba hii nchi ni blessed, Magufuli alitamani kuieleza dunia kwamba hii nchi ni ya namna gn wakamfanya wanavyojua wao (kwasababu nafsi yangu inagoma kabisa kuamini) sasa watz wazalendo tuzidi kuisemea mema nchi hii, tuwaambie hawa wasoijua kwamba hii nchi ni ya namna gn mpk waelewe, hakuna kurudi nyuma kamwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
I feel you bro. Acha tuonekane washamba na primitive. Corona, nzige, Jobo & Magufuli ni ishara tosha kuwa we are blessed. Lower GDP ila huwezi sikia ati kuna njaa. Ukiielewa vema Tz hutoacha kuisemea. Sema kuna brainwashed maggots huwa zinakera sana.
 
Dar es salaam 🔥🔥🔥
Screenshot_20210502-054955_1.jpg
Screenshot_20210502-055138_1.jpg
Screenshot_20210502-055157_1.jpg
 
Hakuna democracy kwenye umaskini, tuondoe kwanza umaskini ndo tushughurike na democracy.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pia democracy ni ghali sana, ichaguzi hugharimu pesa nyingi sana ambazo kwa miaka 10 laiti zingewekwa zingesaidia kufanya mapinduzi makubwa sana kiuchumi na huduma za kijamii

Badala ya kufanya uchaguzi wa viongozi nchi mzima ni bora tungeajiri viongozi kwa mfumo madhubuti wa usahili kwendana na elimu na uzoefu then kuwe na chombo madhubuti kinachowafuatilia utendaji kazi wao na kiwe na mamlaka ya kimfukuza kazi na kumshtaki pale atakapokwenda kinyume na maadili ya kazi na kutenda makosa na miiko ya kazi.

Tatizo Africa akili zipo kwa wazungu
 
Hakuna democracy kwenye umaskini, tuondoe kwanza umaskini ndo tushughurike na democracy.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pia democracy ni ghali sana, ichaguzi hugharimu pesa nyingi sana ambazo kwa miaka 10 laiti zingewekwa zingesaidia kufanya mapinduzi makubwa sana kiuchumi na huduma za kijamii

Badala ya kufanya uchaguzi wa viongozi nchi mzima ni bora tungeajiri viongozi kwa mfumo madhubuti wa usahili kwendana na elimu na uzoefu then kuwe na chombo madhubuti kinachowafuatilia utendaji kazi wao na kiwe na mamlaka ya kimfukuza kazi na kumshtaki pale atakapokwenda kinyume na maadili ya kazi na kutenda makosa na miiko ya kazi.

Tatizo Africa akili zipo kwa wazungu
 
Back
Top Bottom