Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kigamboni 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Completed

Tukisema Tanzania inaongoza kwenye hii sector wanajiuliza how!

E0aXD-PWUAEauX6.jpg
E0aXD-KXoAUVYiV.jpg
E0aXD-EWEAAOL5t.jpg
 



MY TAKE
kwa ufupi ni kwamba hii gari itakuwa iliendeshwa na unauthorized driver possibly iliibiwa asijue to unlock the security measures kitu kikazima jamaa akajaribu akashindwa ikabidi akimbie aiache GPS locator itaikuta hii gari safe and sound! ukiwa jambazi inabidi uwe GPS gick pia magari ya siku hizo yanahitaji ku-disable GPS tracking system!
 



MY TAKE
kwa ufupi ni kwamba hii gari itakuwa iliendeshwa na unauthorized driver possibly iliibiwa asijue to unlock the security measures kitu kikazima jamaa akajaribu akashindwa ikabidi akimbie aiache GPS locator itaikuta hii gari safe and sound! ukiwa jambazi inabidi uwe GPS gick pia magari ya siku hizo yanahitaji ku-disable GPS tracking system!


kashindwa kupanga deal na bodaboda mmoja hao hata wachomoe matyres?[emoji849][emoji23]
 
kashindwa kupanga deal na bodaboda mmoja hao hata wachomoe matyres?[emoji849][emoji23]
Mzee gari kama hiyo inapozima hupiga alarm na hata kuji-lock na akili inayokujia ni kusepa! Maana inakuwa kama unafuatwa! nadhani unajua ninachoongea yaani hapo unakuwa unajaribu kutoka nduki kukimbia umati! Hapo mwenye gari anaweza kuwa kaizima tena kwa kutumia simu! na mind u hidden cameras zinaweza zikawa zime-record tayari!
 
Mzee gari kama hiyo inapozima hupiga alarm na hata kuji-lock na akili inayokujia ni kusepa! Maana inakuwa kama unafuatwa! nadhani unajua ninachoongea yaani hapo unakuwa unajaribu kutoka nduki kukimbia umati! Hapo mwenye gari anaweza kuwa kaizima tena kwa kutumia simu! na mind u hidden cameras zinaweza zikawa zime-record tayari!
ingia youtube utaoona security systems za ku-prevent wizi wa magari! yaani wezi wa magari inabidi wajipange pia!
 
wataalam wa uchumi hii imekaa poa kusajiliwa UK?
kwa mtazamo wangu naona hapa M7 kazingua
 
wataalam wa uchumi hii imekaa poa kusajiliwa UK?
kwa mtazamo wangu naona hapa M7 kazingua

Baba haya makampuni hayaamini sheria zetu! Hamna mtu anaweza kuwekeza $3.5 bln kwa kutumia sheria za nchi za Africa! Ndo maana headquarters zipo huko! Hata makampuni SA yanatumia London courts! JPM kajaribu kwenye suala la Twiga gold ila nangoja utekelezaji wake!
 
Back
Top Bottom