President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,057
- 93,451
Sasa WIFI ndio ujanja 🤣 🤣🤣Hapa hupindishi kitu mzee baba[emoji2960]
Kisha kw taarifa yako natumia wifi kw sasa[emoji23][emoji23]
Sasa WIFI ndio ujanja 🤣 🤣🤣Hapa hupindishi kitu mzee baba[emoji2960]
Kisha kw taarifa yako natumia wifi kw sasa[emoji23][emoji23]
Mataga hamjambo[emoji2960][emoji2960][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Ila wewe kilaza ni special case
Ungesubiri nikutatue [emoji1787]
Sasa kama mnauziwa gb1 5500Mnenguaji venus[emoji23][emoji23]
Kw ubunifu nyoe bado sana ndio manake linapokuja swala faida kampuni zetu zinawachapa kiwango cha ubakajiView attachment 1767799
Mzee huo ni ushamba mambo ya expiry tulishayaacha 2014. Kila kitu sisi unachokifanya no expiry.Mnenguaji venus[emoji23][emoji23]
Kw ubunifu nyoe bado sana ndio manake linapokuja swala faida kampuni zetu zinawachapa kiwango cha ubakajiView attachment 1767799
Punguza hasira basi[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa WIFI ndio ujanja [emoji1787] [emoji1787][emoji1787]
Subutu, sasa zile weekly na 30days za kazi gani[emoji23][emoji23]Mzee huo ni ushamba mambo ya expiry tulishayaacha 2014. Kila kitu sisi unachokifanya no expiry.
View attachment 1767800
Oh!! Kwahiyo upo Uhuru Park.Punguza hasira basi[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1767801
Investment iliofanyika dodoma mbona hujashtuka 🤣🤣🤣🤣Hofu mkuu
Mkifika level ya no expiry kw data, calls & sms unitag jomba..
Kelele ndio sitaki hapa, kwnza utoto weka kando ukitaka twende na facts.View attachment 1767602
Aliesema ni nani mm au?🤣🤣🤣😅👇Hoja kwishaa[emoji23][emoji23]
Too expensive kw maneno yako lkn sio hapaView attachment 1767620View attachment 1767622View attachment 1767623
Is that 1GB ???🤣🤣🤣🤣🤣Nyie watu bado sana, sisi tupo na mpka youtube bundles..ukiingia youtube kifurushi chako hakitumiki mpka labda kiishe kile cha youtube..
Nyie mnasema nini bana, hii sekta kw ubunifu tumewazidi kw mbali snaaView attachment 1767608
Hio ndio cost ya 1Gb hvi nyinyi munalaana gani 🤣🤣🤣🤣Hoja kwishaa[emoji23][emoji23]
Too expensive kw maneno yako lkn sio hapaView attachment 1767620View attachment 1767622View attachment 1767623
Hio ndio 1GB mbona sioni 1GB sasa😃😃
What about dodoma investments 🤣🤣 huulizi hio kuna zaidi ya 1.5b usd imelala paleA honest observation, reality kwa ground. Possibly economic and political factors, propaganda can't grow a country. My hypothesis.
Vp kuhusu dollar billionare btn tanzania and kenya ??? 😀😀😀 yani nchi nzima billionares wamejirundika nairobi wakat tanzania kuna billionares wengi kuliko kenya na wametapakaa nchi zimaThank you for the post, in total Kenya is ranked fourth in Africa, behind SA, Egypt and Nigeria.,
Nairobi alone is ranked sixth., Where is Tanzania? Leave out Dar, it is the only place in Tz where u can find serious billionaires, nchi ni fukara, 😂😅😅😅, next time soma vizuri kwanza. Kila mti mtakwea utateleza mwaka huu😂😂😂😅
Amekasirika na ubungo 🤣🤣🤣🤣Zoea kaka, tafuna limau kimwanaume 😂😂😂
Naww unasupport upupu akionesha bei ya 1GB nitag 🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇Facts ndio dawa😅😂😂😂, wanted to send screenshot ya hii,
So unakataa au??🤣🤣🤣👇👇👇👇Jamaa kabaki na maneno ya kwenye khanga tu sasa, mwenzake kakimbia mada mapema tu..
Eti 1gb ni $2.25, kenya ipi hyo[emoji23]
Labda kenya ya chato
Mwambie aoneshe safaricom 🤣🤣🤣🤣Telekom ni 0.9 percent of Kenyas telecommunication business ni kamtandao ka watu 9
Umemyoa vuzi tayar 🤣🤣🤣🔪🔪🔪
Kenya mtandao ni safaricom waliobakia wote kwangu pakavu tia mchuzi na facts zinaangalia kwenye mitandao ya watu wengi ndio wanapotafuta statistics kenge weweBwahahaa[emoji23][emoji23]
Telkom kw sasa wana wateja lukuki we kumbe unaumwa, watu sai wanatumia telkom balaa km hujui..
Telkom wana mpka 4g network alafu we unakuja kupiga kelele hapa
Mtu kenya hakosi safaricom kw sababu ya mpesa tu