Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu Venus Star sekta ya telecomunications tumewazidi kw karibia kila kitu..
*Ubunifu
*Huduma bora
*Miundombinu bora(mitandao)n.k
Fiber Network Tanzania. Leta ya kwako ya Kenya
052_5283_01_b.jpg
 
Siwezi nikaacha Mzee kama unataka hivyo kuna PM mtumie mtu unayetaka akueleweshe.

Mzee unatakiwa uelewe. Amka mzee, mimi nakuelekeza tu kwa upole. Kama hutaki ushauri basi na wewe tunakuweka kundi la adui zetu.
😂😂😂😂😂😂 is that a threat? Am I supposed to be scared? Na mkiniweka kwenye kundi la “maadui” mnafaidika nini? Wewe ni mtu mzima na una mambo ya kitoto mno. Honestly, feel free to “banish” me. I really have no regrets. I only speak the truth that hypocrites like you do not want to hear.
 
😂😂😂😂😂😂 is that a threat? Am I supposed to be scared? Na mkiniweka kwenye kundi la “maadui” mnafaidika nini? Wewe ni mtu mzima na una mambo ya kitoto mno. Honestly, feel free to “banish” me. I really have no regrets. I only speak the truth that hypocrites like you do not want to hear.
Mzee andika kiswahili. Sikutishi bali ninakukumbusha utaratibu. Hapa tupo kwenye battle. Tuendelee na battle kama wewe umechoka, mzee kuna mambo mengi tu ya kujadili.
 
Nyie watu bado sana, sisi tupo na mpka youtube bundles..ukiingia youtube kifurushi chako hakitumiki mpka labda kiishe kile cha youtube..
Nyie mnasema nini bana, hii sekta kw ubunifu tumewazidi kw mbali snaaView attachment 1767608
Mambo ya kawaida hayo kitenganisha bundles za social media na other channels
Screenshot_20210429-165733.png
 
Back
Top Bottom