CAPABLE GOD
JF-Expert Member
- Dec 5, 2020
- 288
- 343
Source:TAMISEMI MAKETE“Mpokeaji hazuiliwi kuendelea na shule bali kuna kuna channels kadhaa za hiyo shule (tena ni mbili tu: primari na sekondari za gvt) ambazo kwa ustawi wa jamii yetu hawezi kuruhusiwa kuendelea nazo”
Huo “ustawi” wa Jamii unaozungumzia ni upi hasa? Maana Elimu Ndio ustawi wa Jamii na kama watoto hawapewi elimu wanayostahili kuipata huo ustawi unapatakina Vipi?