Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Si mnaumwa wazee[emoji23][emoji23]
Linapoongelewa swala la mtandao huaga mnabaki na maneno tu bila facts..
Pole sana mjombaView attachment 1767775
images.png
 
Nataka kuuliza swali moja. Hivi Mbona skyscrapers mpya hazijengwi Dar? Unlike Nairobi, Dar hakuna hata proposed skyscrapers. Yaani hata tetezi ya jengo refu Hamna! Kwa mji unaokua kwa kasi kama Dar, real estate development inatakiwa kuwa hot kwa sasa. Lakini sasa mambo yaliyopo ni kinyume. Kwa nini?
That's why i always say Kikwete's government was ten times better than Magu's....kwanzia kwenye uchumi hadi kwenye infrastructure Kikwete aliweza sana.Mambo mengi yameenda kombo toka Magufuli aingie madarakani,eg.. wawekezaji kuikimbia inchi,utekaji,mauji,chuki baina ya wanainchi,uchumi kuporomoka kwa kasi....nk
 
Bwahahaha!!kimbia baba manake hapa mimi sitaki maneno matupu..
Simu unayo tupe screenhsot km hutaki hulazimishwi...
Umuhimu ukweli umepenya
Mzee huoni unajiaibisha. By the way mimi natumia mobile App kujiunga Internet, huwa situmii USSD. USSD ni primitive people ndio hufanya hivyo.
🤣 🤣🤣
 
Lete screenshot mzee baba, nataka kuona kile ambacho unakitumia na kukiamini..
Sio uniletee mitandao ambayo unapewa gb lkn mwendo wa ku buffer[emoji23][emoji23]
Ndio manake mi kw huku sijushughulishi na hata kuitaja airtel kisa wana poor network kw pande zingine za nchi
Acha ushamba siyo kila mtu anatumia USSD hapa Tanzania. Mitandao michache sana inatumia USSD. Sisi tunatumia APP Mzee. Usitake tufanane Mzee.
 
Lete screenshot mzee baba, nataka kuona kile ambacho unakitumia na kukiamini..
Sio uniletee mitandao ambayo unapewa gb lkn mwendo wa ku buffer[emoji23][emoji23]
Ndio manake mi kw huku sijushughulishi na hata kuitaja airtel kisa wana poor network kw pande zingine za nchi
GB 1 la WhatsApp mnalotapeliwa kwa 5500 kwa week, Tanzania tunapewa GB 6 kwa 5k tu tena kwa mwezi 😅😅😅
 
GB 1 la WhatsApp mnalotapeliwa kwa 5500 kwa week, Tanzania tunapewa GB 6 kwa 5k tu tena kwa mwezi [emoji28][emoji28][emoji28]
Hatuna kitu kama gb1 la whatsapp huku, uliskia wapi au uliona wapi..
Emu tuonyeshe hapa leo hamtoki
 
Acha ushamba siyo kila mtu anatumia USSD hapa Tanzania. Mitandao michache sana inatumia USSD. Sisi tunatumia APP Mzee. Usitake tufanane Mzee.
Nenda uka screenshot mzee baba[emoji23][emoji23]
Mnaogopa nini sasa jamani, kwn kw app hakuna bei na vifurushi kabisa tuone mnatumia nini kw kila siku
 
Ni kilaza wa kutegemewa huko Kenya, yaani yeye yupo kwenye bundles za youtube wakati Tanzania tupo kwenye bundles za Netflix [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Tuonyeshe mzee baba[emoji23][emoji23]
Sitaki maneno mimi, yani nawachapa kote kote na bado mnabaki na maneno tu..

*no expiry nimewaletea
*youtube nimewaletea
*showmax nimewaletea na bando la daily pia nimewaletea[emoji23][emoji23]..

Ukimuona mtz anaitishwa screenshot alafu anasita kuleta basi ujue ywaogopa kuumbuka

Nyie vado mumebaki na maneno tu, kwaherini wajuba..
 
Asietoka nani baina yetu?

Wewe nioneshe bundles za decoders kwanza [emoji28][emoji28][emoji28]
Bwahahah!!we ndio umeniletea no expiry, youtube, showmax[emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Tena usijaribu kabisa kw decoders, hko utakufa kw presha kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tuonyeshe mzee baba[emoji23][emoji23]
Sitaki maneno mimi, yani nawachapa kote kote na bado mnabaki na maneno tu..

*no expiry nimewaletea
*youtube nimewaletea
*showmax nimewaletea na bando la daily pia nimewaletea[emoji23][emoji23]..

Ukimuona mtz anaitishwa screenshot alafu anasita kuleta basi ujue ywaogopa kuumbuka

Nyie vado mumebaki na maneno tu, kwaherini wajuba..
😅😅😅😅 Ila wewe kilaza ni special case

Ungesubiri nikutatue 🤣
 
Tuonyeshe mzee baba[emoji23][emoji23]
Sitaki maneno mimi, yani nawachapa kote kote na bado mnabaki na maneno tu..

*no expiry nimewaletea
*youtube nimewaletea
*showmax nimewaletea na bando la daily pia nimewaletea[emoji23][emoji23]..

Ukimuona mtz anaitishwa screenshot alafu anasita kuleta basi ujue ywaogopa kuumbuka

Nyie vado mumebaki na maneno tu, kwaherini wajuba..
no expiry ni kitu gani Mzee.
Unaonekana wewe ni maskini.
 
Mnenguaji venus[emoji23][emoji23]
Kw ubunifu nyoe bado sana ndio manake linapokuja swala faida kampuni zetu zinawachapa kiwango cha ubakaji
20210429_160214.jpg
 
Back
Top Bottom