Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mzee sijui unaelewa unacho weka hapa. Ndio unadhidi kuthibitisha cost ya 1GB Kenya ni kubwa.
Nimekuletea screenshot inayoonyesha 100ksh unapata 2GB+2GB night data, hapo unataka nini mzee..
Km hko kwenu mitandao hawana ubunifu kuvutia watu mtulie aisee..
 
Nataka kuuliza swali moja. Hivi Mbona skyscrapers mpya hazijengwi Dar? Unlike Nairobi, Dar hakuna hata proposed skyscrapers. Yaani hata tetezi ya jengo refu Hamna! Kwa mji unaokua kwa kasi kama Dar, real estate development inatakiwa kuwa hot kwa sasa. Lakini sasa mambo yaliyopo ni kinyume. Kwa nini?
A honest observation, reality kwa ground. Possibly economic and political factors, propaganda can't grow a country. My hypothesis.
 
Mzee hebu mambo ya Tanzania yapeleke kwenye majukwaa ya Tanzania. Maana hats tukikuelewesha hutaki. Sasa sisi tufanyeje. Umeuliza swali tumekujibu halafu unakataa.
Kwanini usiweke jibu lako!? Be serious bro.
Mkinielewesha nini hasa? Kukomoa watoto wadogo kwa kuwafukuza shule? Majibu yangu labda huyasomi. Hata hapo juu nimeyaweka. Wewe kama hutaki kujihusisha kwenye mjadala huu, endelea na mambo yako! Mind your own business. Maana sikukujibu wewe bali wale walioniuliza!
 
Mzee unajiaibisha usione tumekaa kimya tunakushangaa.
Kenya internet is too expensive.
Hoja kwishaa[emoji23][emoji23]
Too expensive kw maneno yako lkn sio hapa
20210429_160235.jpg
20210429_160803.jpg
20210429_160214.jpg
 
Mkinielewesha nini hasa? Kukomoa watoto wadogo kwa kuwafukuza shule? Majibu yangu labda huyasomi. Hata hapo juu nimeyaweka. Wewe kama hutaki kujihusisha kwenye mjadala huu, endelea na mambo yako! Mind your own business. Maana sikukujibu wewe bali wale wakioniuliza!
Mzee hasira ya nini!?
Hapa tupo kwenye battle kati ya Kenya na Tanzania.
Halafu wewe mtanzania unataka tuanze kukueleza mambo ya Tanzania are serious!? Unajua vita kweli Mzee!?
Umeongelea kuhusu
1. skyscrapers hapa dar
2. Watoto kufukuzwa shule

Mzee hebu kuwa serious. Hiyo issue ya watoto kuna maandiko mengi mno na yalishatolewa ufafanuzi.
Tafuta maandiko hayo.
 
Facts ndio dawa[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23], wanted to send screenshot ya hii,
Jamaa kabaki na maneno ya kwenye khanga tu sasa, mwenzake kakimbia mada mapema tu..
Eti 1gb ni $2.25, kenya ipi hyo[emoji23]
Labda kenya ya chato
 
Mzee hasira ya nini!?
Hapa tupo kwenye battle kati ya Kenya na Tanzania.
Halafu wewe mtanzania unataka tuanze kukueleza mambo ya Tanzania are serious!? Unajua vita kweli Mzee!?
Umeongelea kuhusu
1. skyscrapers hapa dar
2. Watoto kufukuzwa shule

Mzee hebu kuwa serious. Hiyo issue ya watoto kuna maandiko mengi mno na yalishatolewa ufafanuzi.
Tafuta maandiko hayo.
Shida sio yangu. Sitafuti maandiko na sitafuti kuelimishwa Maana tayari nimeelimika! Mbona watanzania wengine wakipost tweets kuhusu Mimba za utotoni kenya huwajii juu? Hasira ni za kwako! Wale wanaotaka kujadili na wewe kuhusu petty competitions basi zungumzeni. Lakini kama kuna mtu anayetaka kuongea kuhusu something else, let them! Last I checked this was a platform where everyone is encouraged to speak openly! If you can’t stand openness and free expression of thought then this place is not for you.
 
Shida sio yangu. Sitafuti maandiko na sitafuti kuelimishwa Maana tayari nimeelimika! Mbona watanzania wengine wakipost tweets kuhusu Mimba za utotoni kenya huwajii juu? Hasira ni za kwako! Wale wanaotaka kujadili na wewe kuhusu petty competitions basi zungumzeni. Lakini kama kuna mtu anayetaka kuongea kuhusu something else, let them! Last I checked this was a platform where everyone is encouraged to speak openly! If you can’t stand openness and free expression of thought then this place is not for you.
Mzee anzisha thread ya kujadili hicho Mbona simple. Siyo kupandilia mjadala tofauti.

Upo huru kuanzisha mjadala huo. Zaidi ya hapo unataka kuleta confusion tu.
 
Kuna mtu alisema kwa sasa USA haipati China, just from a single news segment where China appeared to be doing great, now see the first quarter economic results ya USA! Do you know what this translates from the size of US GDP??
Screenshot_20210429-160012.png

1619702749725.jpg


China will take long to overtake US., not in the near future.
 
Mzee anzisha thread ya kujadili hicho Mbona simple. Siyo kupandilia mjadala tofauti.

Upo huru kuanzisha mjadala huo. Zaidi ya hapo unataka kuleta confusion tu.
Tufanye hivi. Mind your own damn business. Kama kuna topic ambayo mtu hajakutag au kuku-quote au topic ambayo haiendani na competition ya Dar Vs Nairobi basi pita kama huoni kinachoendelea. Kwasababu huwezi kudictate mtu apost kitu unachotaka wewe!
 
Tufanye hivi. Mind your own damn business. Kama kuna topic ambayo mtu hajakutag au kuku-quote au topic ambayo haiendani na competition ya Dar Vs Nairobi basi pita kama huoni kinachoendelea. Kwasababu huwezi kuductate mtu apost kitu unachotaka wewe!
Siwezi nikaacha Mzee kama unataka hivyo kuna PM mtumie mtu unayetaka akueleweshe.

Mzee unatakiwa uelewe. Amka mzee, mimi nakuelekeza tu kwa upole. Kama hutaki ushauri basi na wewe tunakuweka kundi la adui zetu.
 
Back
Top Bottom