Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwaweli Sijui Tatizo liko wapi.
Kw mtazamo wangu mi naona mji kw sasa nkm umepoa, si wajua investors huangalia vitu vingi sana before wajitose sehemu..
Sasa huenda kw sasa dar kuna kitu ina lack tena mie naona kikubwa zaidi ni serikali yenu ndio inaleta hayo matatizo
 
Hivyo kwa maslai mapana ya jamii yetu ya kitanzani na kutambua umuhimu wa elimu kwa kila mototo na maadili yetu kwa ujumla...huyu mwanafunzi mjamzito(ni bahati mbaya hakuupanga...ila lazima awajibike) anakuwa na option ya kuendelea na elimu katika mifumo mingine ya elimu huku akiwaacha hawa freshers wasijeiga....na uzuri at the end utonyimwa kazi au nafasi yeyote ya elimu yako kisa ulipitia hii mifumo....na si kila anayeenda huko alikuwa mjamzito....mfano ni namba moja wa tz
Nahitaji unieleweshe kuhusu Uwajibikaji wa mtoto aliyepata mimba. Anawajibika vipi? Na huoni kuwa kumpa mtoto mmoja elimu na kumuacha mwingine moja kwa moja ni upuuzi? Kwamba wako Huru kwenda kwenye mifumo mingine ya Elimu ambayo ni either private school ( not affordable to everyone) au VETA (yawezekana isiwe ndoto ya mwanafunzi tajwa). Unapunguza fursa za mwanafunzi kujiendeleza kimaisha kwa kumfukuza shule!
 
Nahitaji unieleweshe kuhusu Uwajibikaji wa mtoto aliyepata mimba. Anawajibika vipi? Na huoni kuwa kumpa mtoto mmoja elimu na kumuacha mwingine moja kwa moja ni upuuzi? Kwamba wako Huru kwenda kwenye mifumo mingine ya Elimu ambayo ni either private school ( not affordable to everyone) au VETA (yawezekana isiwe ndoto ya mwanafunzi tajwa). Unapunguza fursa za mwanafunzi kujiendeleza kimaisha kwa kumfukuza shule!
Hvi tuchukulie ww ni mzazi na tuongee frank kabisa mtoto wako wa kike aje na mimba nyumbani ww kama mzazi utafanya nn
 
Source:TAMISEMI MAKETE
Hii nimetoa kwenye Website ya Arusha City Council


4B0E13D7-BA88-4635-928F-CC7ABA42CF51.jpeg


Sielewi jinsi Ustawi wa Jamii ( community development) unahusisha kufukuza watoto shule. How the hell is that even “Ustawi”

Jamii zetu zitaendelea Vipi kama watoto wananyimwa fursa ya kupata elimu?
 
Hvi tuchukulie ww ni mzazi na tuongee frank kabisa mtoto wako wa kike aje na mimba nyumbani ww kama mzazi utafanya nn
Swali zuri sana. Nakupongeza kwa kuniuliza hili Swali.

Kwanza mtoto wangu simlei kwa kumuacha ajifanyie maamuzi yake anayotaka. Ninaongea naye kuhusu mambo ya ngono, magonjwa ya zinaa, na Tabia mbaya wazi wazi. Kiufupi simfichi jambo lolote. Ni heri asikie kuhusu haya mambo kwangu kwanza kuliko kwa teenagers wenzake! Na yeye yuko very educated about these things Kwa hiyo sitegemei aje na ujauzito nyumbani!

Akija na ujauzito moja kwa moja nitajua amefanyiwa sexual assault! Yaani amebakwa! Kwa hiyo sitamfukuza na wala sitampiga Wala sitamtukana. Mental na physical health yake ni muhimu kuliko kitu kingine. Kwa hiyo tutafika polisi kufungua kesi ya ubakaji na tutafika hospitali kwa ajili ya vipimo. Na ikiwezekana pia atapata therapist!

Tofauti niliyoiweka hapa ni kuwa unlike MOST Tanzanian parents, mimi ni mzazi RESPONSIBLE! Sisubiri “mtoto aje na mimba” Bali ninaishi kila siku nikimfundisha mtoto wangu kulizuia hilo. Kwa hiyo mtoto wangu hawezi kuja na mimba nyumbani kwa ridhaa yake, Bali kwa jambo baya ambalo hakutaka limtokee.
 
Swali zuri sana. Nakupongeza kwa kuniuliza hili Swali.

Kwanza mtoto wangu simlei kwa kumuacha ajifanyie maamuzi yake anayotaka. Ninaongea naye kuhusu mambo ya ngono, magonjwa ya zinaa, na Tabia mbaya wazi wazi. Na yeye yuko very educated about these things Kwa hiyo sitegemei aje na ujauzito nyumbani whatsoever!

Akija na ujauzito moja kwa moja nitajua amefanyiwa sexual assault! Yaani amebakwa! Kwa hiyo sitamfukuza na wala sitampiga Wala sitamtukana. Mental na physical health yake ni muhimu kuliko kitu kingine. Kwa hiyo tutafika polisi kufungua kesi ya ubakaji na tutafika hospitali kwa ajili ya vipimo. Na ikiwezekana pia atapata therapist!

Tofauti niliyoiweka hapa ni kuwa I like MOST Tanzanian parents, mimi ni mzazi RESPONSIBLE! Kwa hiyo mtoto wangu hawezi kuja na mimba nyumbani kwa ridhaa yake, Bali kwa jambo baya ambalo hakulitaka limtokee.
Mzee hebu mambo ya Tanzania yapeleke kwenye majukwaa ya Tanzania. Maana hats tukikuelewesha hutaki. Sasa sisi tufanyeje. Umeuliza swali tumekujibu halafu unakataa.
Kwanini usiweke jibu lako!? Be serious bro.
 
Mzee unatuketea night data. Hebu kuwa serious kidogo. Yaani mtu aache kulala aigie kutumia 1.2GB!?
Nyie watu bado sana, sisi tupo na mpka youtube bundles..ukiingia youtube kifurushi chako hakitumiki mpka labda kiishe kile cha youtube..
Nyie mnasema nini bana, hii sekta kw ubunifu tumewazidi kw mbali snaa
20210429_160803.jpg
 
Kenya was ranked fourth among countries with the highest concentration of billionaires in Africa.

The Africa Wealth report for 2020 ranked South Africa top with 1,930 billionaires followed by Egypt (810) and Nigeria (460).

Nairobi is placed sixth in the cities’ ranking.
Thank you for the post, in total Kenya is ranked fourth in Africa, behind SA, Egypt and Nigeria.,
Nairobi alone is ranked sixth., Where is Tanzania? Leave out Dar, it is the only place in Tz where u can find serious billionaires, nchi ni fukara, 😂😅😅😅, next time soma vizuri kwanza. Kila mti mtakwea utateleza mwaka huu😂😂😂😅
 
Mzee unatuketea night data. Hebu kuwa serious kidogo. Yaani mtu aache kulala aigie kutumia 1.2GB!?
Hahaha!!nigt data au ndio zilivyo, yani ukinunua kifurushi unapewa mpka cha usiku, incase ukikinunua usiku basi utatumia night data mpka zikaishe ndio uanze hicho cha kawaida..

Kaa ukisoma kwanza before uanze kujijibia vitu kw kukurupuka tu
 
Hahaha!!nigt data au ndio zilivyo, yani ukinunua kifurushi unapewa mpka cha usiku, incase ukikinunua usiku basi utatumia night data mpka zikaishe ndio uanze hicho cha kawaida..

Kaa ukisoma kwanza before uanze kujijibia vitu kw kukurupuka tu
Mzee unajiaibisha usione tumekaa kimya tunakushangaa.
Kenya internet is too expensive.
 
Back
Top Bottom