Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Suala la uzuri wa mabasi halihitaji mjadala zaidi. Labda kama hauna kazi ya kufanya. Unataka tufananishe hizo Master na akina Zong Tong au Higer? Kuhusu hizo intercounty buses ndiyo hizo huku tunatumia zaidi Japanese mini-buses.
Unataka kulinganisha body za uchina na masters, kweli nyie matahira jamaa wanaunda bodi km vile udongo, yani likigonga lina momonyoka lote km vile ngozi ya chatu
 
Kuna jamaa kamposti mkeo kule katika jukwaa la siasa
We endelea ku post watu na vyao tu hku ukiacha mkeo akiliwa na kupostiwa na wengine
🤣 🤣🤣
Screenshot_20210420-152940.png
 
Nyie buses zenu ili zipate faida inabidi kuvuka boda, safari za ndani kwa ndani ni chache mno tofauti na sisi wenzenu tunasafiri mno ndani ya nchi, nyie kwenu ukabila unachangia kushindwa kuwa na safari nyingi ndani ya nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom