Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jifunzeni usafi acheni kutembea na mbolea kwenye nguo zenu. Wewe unaona kawaida kwasababu umezoea kukaa na flying toilets 🤣🤣
Flying toilets afadhali, nyie ni mwendo wa "Defecation on the open" yaani kunya pahali wazi popote! 🤣 🤣 🤣
 
Flying toilets afadhali, nyie ni mwendo wa "Defecation on the open" yaani kunya pahali wazi popote! 🤣 🤣 🤣

🤣 🤣 🤣
Screenshot_20210418-235943.png
 
Swala la uzuri usijaribu mkuu, international praises tunapewa kila kukicha, vyombo tuna pimp kama vipi hata Amerika, hawana ka hizi zetu.
Praise gani tena mkuu? Mbona mmepigwa kwenye battle ya buses hapo juu. Msipende kusifiwa sifiwa na hao internationals. Tumieni macho na akili zenu. Ndiyo maana mnapigwa kila kona.
 
Kenya tuna deal na vitu na hadhi yake bana[emoji1787][emoji1787]
Sijui yutong, zhengdu tunewaachia wazee wa south
 
Back
Top Bottom