Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,702
- 107,146
14 seater, ni bus mkuu? Fikiria kwanza kabla ya kuandika. Alafu hizo 14 seater ntakuletea nikuchape nazo, wajua tayari vituko vyetu! 🤣Ndio usafiri wenu mkuu mzee kwann ubishee😂😂😂 riftvalley shuttle mnapandia afya centre jengo la kijani 14 seater nauli 800 mpaka eldy sijui nakuru
Usisahau huku mzee baba tuko na intercounties shuttles wala hatutegemei mabasi pekeake..Battle ya uzuri na wingi wa mabasi mgeipotezea tu maana tunawagaragaza. Mabasi yetu bongo ni more beautiful than yours. Pia ni mengi sana ikilinganishwa na ya kwenu. Hii ni kwa kuwa uchumi wa Tanzania umesambaa kila kona ya nchi hivyo miji ni mingi. Wingi wa miji unapelekea demand kubwa ya inter-city/upcountry transportation.
Ila; nasema ila!
Sisi wabongo tunalo somo kubwa sana la kijifunza kwenye hii battle ya mabasi. Wingi wa mabasi kutoka nje (Chinese buses) una madhara hasi kwenye sekta ndogo ya bus manufacturing/assembly.
Tuko chini sana kwenye uundaji mabasi in both terms of quality and quantity. Najua wapo producers wazuri wachache kama Dar Coach na JN Coaches ila tuwe macho na haya mabasi ya hawa rafiki zetu wa China.
Automobile assembling and manufacturing haihitaji mtaji kubwa sana bali ambition and planning. Mfano ni huyo mkali wa JFA assemblers aliyeanzisha assembling plant kwa tune ya below TZS 5bn na itagharimu 12bn mpaka kukamilika.
Hayati Reginald Mengi naye alikuwa kwenye mchakato na Foton Motors kabla ya umauti kumfika.
Kuna watu wetu kama akina Hanspaul wakiwezeshwa vizuri watatutoa kimasomaso.
Iko hivi. Viwanda vingi vya China "havizalishi" hayo mabasi bali vinafanya tu assembling. Mfano mzuri ni yale mabasi yetu ya mwendokasi. Golden Dragon kwa sehemu kubwa ni body makers. Engine zilitengenezwa na Kemix ya Marekani. Gear box na Diff zilitengenezwa Germany.
Tukiamua tunaweza. "Matatu" za Kenya hazivutii lakini ile kwamba ziko manufactured Kenya inawapa benefits nyingi ambazo ziko wazi.
Pia kwenye eneo la mini-bus tunapigwa na wajapani. Mimi nimekua kwenye biashara ya "macoaster na vi-hiece". Pale kinachofanyika ni dumping ya magari chakavu na mabovi ya Japan ambayo hayako designed kufanya kazi kwenye miundombinu kama ya kwetu.
Pia mengi kule yanafanya shughuli binafsi ila huku tunayatwisha mzigo wa commercial transportation. Hivyo yanachoka haraka.
Jana PM aliahidi kuwatembelea JN Coach tar 26. Alinikosha sana.
Ziko kibao huko juu, na hapo chini nishaaibisha mtu, mna edit magari ya watu, huko ku edit pia kumewashinda! Jamani, mwambie huyo, huo ni unyonge! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Onesha picha amabayo imepostiwa ambayo sio ya hapa bongo
Oneshaaa baba uumbukeeeZiko kibao huko juu, na hapo chini nishaaibisha mtu, mna edit magari ya watu, huko ku edit pia kumewashinda! Jamani, mwambie huyo, huo ni unyonge! [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Pole sana kw maumivu[emoji23][emoji23]Haha sasa hayo masufuria unamtambia nani? Mmepigwa mpaka mmepoteana kwenye hata nusu ya companies za mabus hazijafika tayari chali
Mmebaki kurudia masufuria yenu tu upande wa kushoto kulia nyuma mbele,
Barabara zenyewe hamna
Customization ya ndani na nje pia. Hawajui comfort hao. Madude tu barabarani! 🤣 🤣 🤣 Hapo manyanga hata sija post, kudadadeki, si mtakimbia nyie! 🤣 🤣 🤣Usisahau huku mzee baba tuko na intercounties shuttles wala hatutegemei mabasi pekeake..
Tena unaposema eti mabasi yenu mazuri inakua unakosea, basi sio uzuri pekeake mpka engine nayo intakiwa iwe ya maana, chases pia vile vile
Hivi vitu ndugu zetu wataishia kuviona kwenye picha kama hiviii[emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]View attachment 1758125
Bwahaha!!unafikiria hyo ni michina unagonga mbele unakunjika mpka nyuma[emoji1787][emoji1787]Hivi haya masufuria mliyopachika brand za watu huwa hawawezi kuwashtaki kwa defamatory prejudice? Sasa huo msufuria wa Fuso Tipper na Benz wapi na wapi?
Nacho kinatoa samaki aina gani? 😂 😂 😂 😂26. KISIWA CHA UNGUJA
Kisiwa cha unguja kina mikoa mitatu. Nitakiongelea chote kwa ujumala
BEACH NA STONE TOWN UNGUJA
View attachment 1758150View attachment 1758151View attachment 1758152View attachment 1758153View attachment 1758154
Wazee golden lion washapanic[emoji1787]Hiyo ndio latest luxury kwao wala hujakosea
Sekta ya anga achaneni nayo kabisaau sio?
from Mwanza to Kagera
jamaa kaondoka kutoka nchi ya kupanda matatu hadi nchi ya kupaa kwa ndege
View attachment 1758095
Wao wana kina 'youtong, xan xei, zip tan, mai pei'... 😂 😂 😂 😂 Oyaa aaaa! 🤣Bwahaha!!unafikiria hyo ni michina unagonga mbele unakunjika mpka nyuma[emoji1787][emoji1787]
Buy kenya build kenya[emoji110]
Unatuletea gari za miaka saba kumi iliyopita, number plate KA mbona ya kitambo sana..watu wako D sasa
Mimi siposti utopolo wenyu, angalia yamejazana humo ndani! 🤣Oneshaaa baba uumbukeee