Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

15. MOROGORO
Mkoa wa morogoro ni kati ya mikoa yenye rutuba nyingi nchini. Mazao ya kila aina yanakubalika.
Morogoro umepakana na Pwani, Dodoma, Iringa

KILIMO CHA MKONGE MOROGORO
images - 2021-04-20T123837.860.jpeg
images - 2021-04-20T123850.303.jpeg
images - 2021-04-20T123907.938.jpeg
images - 2021-04-20T123938.217.jpeg
 
Nomaaa!!yani majamaa wamekomalia mabasi ya kichina tu aisee
Nacheki mpaka makambi ya kijeshi wanajengewa na mchinku, sehemu mnazofaa ziwe siri yenyu, mnajengewa. Kwisha! Washa install madude yao humo aka invisible gadgets bado kuibiwa intelligence chini ya Maji! 🤣 🤣 🤣
"In Tanzania, China has already built a sprawling training facility for the Tanzanian armed forces, completing a $30 million training center for the Tanzanian People’s Defence Force"

Tanzania and China - JSTOR
 
Haha sasa hayo masufuria unamtambia nani? Mmepigwa mpaka mmepoteana kwenye hata nusu ya companies za mabus hazijafika tayari chali

Mmebaki kurudia masufuria yenu tu upande wa kushoto kulia nyuma mbele,

Barabara zenyewe hamna
 
Back
Top Bottom