President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,033
- 93,389
29. Marangu Coach
Wivu unakusumbua,siku ukiziona mig 29 zetu utazimia kabisa kwa jelousNdio nikasema ziko version kibao, mliyonayo ni utility helicopter sio attack helicopter.
Sio wivu, ni ukweli nakuadhibu nao. Hata sisi kuna ndege za wanajeshi ambazo zinakaa poa but ni za kubeba, kusafirisha nk. Zaweza tumika kwa attacking arena Lakini mpaka zijazwe vifaa advance za kivita ndio ziwe na uwezo wa ku attack.Wivu unakusumbua,siku ukiziona mig 29 zetu utazimia kabisa kwa jelous
Kampuni 100 zote za nn hzo[emoji1787][emoji1787]Mzee Tanzania kuna zaidi ya makampuni 100 ya mabasi mazuri. Mimi nakuona kama mwehu Fulani tu.
View attachment 1756973View attachment 1756974View attachment 1756975View attachment 1756976
Future CEO's katika makampuni ya tz[emoji1787][emoji1787]Wawekeeni mazingira safi wacheni upuuzi, mtoto unapomuweka kwenye mazingira hayo anakosa uzalendo kwa nchi yake ndo mana viongozi wengi wa Kenya co wazalendo kutokana na maisha ya nguruwe waliyokutana nayo utotoni [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787]View attachment 1756978View attachment 1756979View attachment 1756980View attachment 1756981
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂, Dah nilikuepo wapi mda wote huu unadanganya watu we mbuzi.? Tahmeed ni kampuni ya tz tena tanga route zake kubwa ni Tanga-DSM na Tanga-MombasaTahmeed coach limited ni kampuni ya kenya
We mjomba bado uliendelea kumbe kupost mabasi 😂😂😂 . Tanga-DSM pekee kuna bus kali nyingi sana kuliko bus zote za hapo kenya kwenu, nyoosha kidole jifanye kama unajikuna nikuonyeshe, hapa sijatoa mguu mkoa wowote kukutaftia ndinga kali