Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

PMO_8840.JPG
PMO_8845.JPG
PMO_8879.JPG
PMO_8756.JPG


 
kimwizzy umesema ukweli kuhusu hao vijana, manake kiukweli ikifika ni mtihani wanabomoa kubomoa aisee..

View attachment 1756954View attachment 1756955View attachment 1756956
Vijana wamekupigia 400 kupanda yani sijui watoto wa private schools huaga tatatizo ni nn likifikia swala la mitihani ya kitaifa..
Yani wanapigwa na kuachwa hko
Wawekeeni mazingira safi wacheni upuuzi, mtoto unapomuweka kwenye mazingira hayo anakosa uzalendo kwa nchi yake ndo mana viongozi wengi wa Kenya co wazalendo kutokana na maisha ya nguruwe waliyokutana nayo utotoni
JamiiForums-672447531.jpg
JamiiForums103433589.jpg
JamiiForums98375291.jpg
JamiiForums-337493742.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wawekeeni mazingira safi wacheni upuuzi, mtoto unapomuweka kwenye mazingira hayo anakosa uzalendo kwa nchi yake ndo mana viongozi wengi wa Kenya co wazalendo kutokana na maisha ya nguruwe waliyokutana nayo utotoni View attachment 1756978View attachment 1756979View attachment 1756980View attachment 1756981

Sent using Jamii Forums mobile app
Shule ka hizo ndio yule mwalimu bora duniani wa ule mwaka alikuwa anafundisha hadi akaenda high school bado ya kijijini, mwisho wa siku ilikuwaje. Mapeni kibao kazawadiwa, anajulikana duniani kote, na la mwisho... Nitajieni mwalimu aliyefanya ka yeye, kuinua wanafunzi wa vijijini kuwa Smart kuwashinda wa shule bora Kenya!? 🤣 🤣 🤣 (teacher Tabichi) nenda ka revise 😂😂😂
 
Back
Top Bottom