Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

42. Buti la Zungu
images - 2021-04-20T014532.109.jpeg
images - 2021-04-20T014543.943.jpeg
images - 2021-04-20T014601.825.jpeg
67982654_2215113098618451_8999003717102205201_n.jpg
images - 2021-04-20T014508.035.jpeg
images - 2021-04-20T014516.503.jpeg
images - 2021-04-20T014453.056.jpeg
 
kimwizzy umesema ukweli kuhusu hao vijana, manake kiukweli ikifika ni mtihani wanabomoa kubomoa aisee..

View attachment 1756954View attachment 1756955View attachment 1756956
Vijana wamekupigia 400 kupanda yani sijui watoto wa private schools huaga tatatizo ni nn likifikia swala la mitihani ya kitaifa..
Yani wanapigwa na kuachwa hko

Wakenya wabaya, Mungu anisamehe sana kwa dhambi ya kuongea ukweli dhidi ya wanadamu wenzangu. "eeeh Mungu nisamehe kwa makosa haya"

Dah! ila jamaa ni wabaya mno!
 
Nina wasi kama hii ni Mercedes Benz halisi! Imekaa kama Tata!

Kitu pekee cha Benz hapo ni hilo logo mbele wamebandika, hilo ni lori la canter/ Isuzu wamebadiliaha Body , angalia komeo la mlango , kama la getho la msela, halafu angalia na madirisha kama ya zege . Kama ni Benz akuambie model gani.
 
Back
Top Bottom