Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,539
- 12,943
CROWN BUS CO.
KALALE!!! 🤣 🤣 🤣










Twende pole pole wacha pupa, nakuekea in order dadeki wewe! 🤣unarudia bus hizo hizo tuwakati umeonyeshwa zaidi ya gari 15 za tz we upo hapo hapo tu coast na tahmeed ambayo si yenu
Nani huyo, as far as I know, vyombo vyangu hata sijarusha robo yake! 🤣 🤣 🤣Leo kapigwa mtu mtungo
Alikuwa hajui kama wabongo tuna tabia mbaya ya kula mtungo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sitii pua, nashindilia mhogo wa jang'ombe! 🤣 🤣 🤣kimwizzy kashambuliwa mpk kajuta, tatizo lake huwa hataki kuuliza Wakenya wenzake kwnn baadhi ya mada hawatii pua zao
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyinyi hadi kampuni za enzi za "Wajerumani" mko nazo, eti bus hizo. Si tunaingiza vyombo brand new, kampuni za mau mau tunatupila kando ya competition kwanza! 🤣 🤣 🤣jamani bongo kuna kampuni nyingi sana za buses bora hawa kunguni wakikenta ni zeroo kabisa![]()
Mbona michina jomba

