Bado wapo wapumbavu hawaoni namna Magufuli alivyopambania uchumi wetu, Magufuli alikua ni Tanzania tu yeye na Tanzania, Tanzania na yeye ndio maana hata hakutaka kutoka nje
Huyu mama yeye sio Tanzania kabisa, yeye ni mabeberu watafurahi au hawatafurahi
Angalia vipaumbele vyake ni

Statistics za covid

Rekebisheni diplomasia

Wapeni wageni work permits

Msiwape stress investors (foreigners)

Fungulieni lawful convicted media

Twitter yake ni English tupu

Followed mabeberu tupu

Acting total badass puppet
Hana maslahi na Tanzania (patriotism) kama Magufuli