Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,866
- 19,252
Yote hii ni obsession ya ku catchup with Tanzania, mpaka wanafanya vihoja ili tu na wenyewe wakae list 1 na Tanzania kwenye BRTWakati BongoTunajenga BRT lanes Mwaka 2015 , Hili bus ndio lilitumika kujaribishia Barabara . Na tukaambiwa yatakua haya. Lakini yakanunuliwa Mengine. So nina uhakika na hao watanunua Yatakayowafaa. Umegundua humu pia tulionyeshwa mabus wameshanunua yapo SA yameandikwa Namata?
Ona MAN Bus kabla ya Jinlong.
View attachment 1746357
View attachment 1746358
