Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832
Ni asili ya binadam bro kuwa mpole tuuuNajisikia kinyaa hata kutembelea mitandao ya kijamii kwa ss, yn najisikia vby sn, ngj nijipe break fupi kwanza.
Kinyaa kinyaa kinyaa![]()




Ni asili ya binadam bro kuwa mpole tuuuNajisikia kinyaa hata kutembelea mitandao ya kijamii kwa ss, yn najisikia vby sn, ngj nijipe break fupi kwanza.
Kinyaa kinyaa kinyaa![]()




Ni corona ndio imesababisha Acha kukaza fuvu ilo mzeeI highly doubt it. Tanzania opted for no lockdown.
Kama ndo hvi wadau naona siku zangu umu ndani zinafikia ukingoniDhaaa kweli tushapoteza jembe... it's done kama matani vle tunavyo dwell back to same old tz... na tutamkumbuka Jpm kwa hili for sure.
Mzee yale maneno ya magufuli "siku moja mtanikumbuka" nmeamin Leo yani hawa jamaa wanapinga kila kitu hamna hata mmoja anayeonekana kumuunga daah bora niamie Burundi tuu huu unafki ndio siutakagiYani mambo yote yaliyofanywa awamu iliyopita yameonekana ni ya hovyo, kila mahali pametolewa dosari, ss hapa km hawajitii doa wao wenyewe sijui imekaaje, nadhani wanajichimbia kaburi wao wenyewe, tatizo la nchi hii hakuna upinzani imara ila kiukweli huu ndiyo ulikuwa mwisho wa hiki chama.
Chuki mbaya sana aisee.
nitupie short summary kwa mimi mkuu nijue tatizo lako,letu lipo sehemu nina jambo nataka tufaidishane kama wa TzKwa extent Fulani ukweli sikuujua. Na hata ukweli nilioujua sikupenda kuuongea kwasababu nilikuwa nasoma atmosphere ya huu uzi. Kabla sijachukua break kidogo kwenye huu uzi miezi michache iliyopita niliongea ukweli na wengi walinipinga. Kiukweli siwezi kubadisha mawazo ya mtu lakini muhimu ni kuwajulisha watu. Ukweli waupende wasiupende ilimradi uwepo hewani.
Asad ndiye alikuwa jembe alikuwa anatoa vitu nondo vyenye mashikoEti Magufuli stand itasababisha foleni kwamba haikuzingatia ujenzi wa barabara ya kimara-kibaha
Na kwamba bwawa la JNHP linajengwa kwa hesabu za kizamani za 70s
Kwahiyo ilani yao waliyoitengeneza wenyewe leo wanaikosoa, kwahiyo mapesa yote yaliyozama pale tumeyatupa tu tuanze upya
Yani kiukweli mambo mengine hata wapinzani wanashangaa, hakuna jema lililofanywa awamu iliyopita, kesho tutaambiwa mradi wa sgr hauna tija mana tayari spika anasema ilipaswa utegemee ujenzi wa Bagamoyo port
Wallahi Africa ni shit hole.
mambo ya kawaida chief,,,,,,Najisikia kinyaa hata kutembelea mitandao ya kijamii kwa ss, yn najisikia vby sn, ngj nijipe break fupi kwanza.
Kinyaa kinyaa kinyaa![]()
Hii yote ni njia za kumpinga jpm mm hawa jamaa siwaelewi tena upinzani washike nchii tuu yani ccm watu wamekaa kimaslai tuuAsad ndiye alikuwa jembe alikuwa anatoa vitu nondo vyenye mashiko
miaka yote hiyo ipo wazi CCM ni chama chenye wanachama wanafki kuliko chama chochote duniani,,Hii yote ni njia za kumpinga jpm mm hawa jamaa siwaelewi tena upinzani washike nchii tuu yani ccm watu wamekaa kimaslai tuu
Jpm aliwabana sana aisee yanii kweli tutamkumbuka mzeemiaka yote hiyo ipo wazi CCM ni chama chenye wanachama wanafki kuliko chama chochote duniani,,
ukiwabana tu kimaslai wanakuchukia



kuwa na walinzi wachache sana inanipa ishara kuwa kuna maslahi ya watu hayaguswi na hivyo hakuna tishio.
I highly doubt it. Tanzania opted for no lockdown.
Yaa uko sahihi, hatupaswi kuifanya kenya kama yardstick. Wakati kenya is worse in corruption than us.Naona mfano wa Kenya umewakwaza wengi. Situmii maneno ya ajabu Bali nasema ukweli. Ukweli ni mgumu siku zote hasa kwa wale ambao hawautaki.
Kwa extent Fulani ukweli sikuujua. Na hata ukweli nilioujua sikupenda kuuongea kwasababu nilikuwa nasoma atmosphere ya huu uzi. Kabla sijachukua break kidogo kwenye huu uzi miezi michache iliyopita niliongea ukweli na wengi walinipinga. Kiukweli siwezi kubadisha mawazo ya mtu lakini muhimu ni kuwajulisha watu. Ukweli waupende wasiupende ilimradi uwepo hewani.