Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu kama upo na mama haina shida tumeshakuelewa na hakuna atakayekupinga ila usitoe maneno ya ajabu ajabu ili tu tukubaliane na mtazamo wako, hapo ni siasa tu imechukua nafasi.
Naona mfano wa Kenya umewakwaza wengi. Situmii maneno ya ajabu Bali nasema ukweli. Ukweli ni mgumu siku zote hasa kwa wale ambao hawautaki.
 
Achana naye ana roho nyepesi, akitoka mama akija mwengine pia atabadili msimamo wake.
😂😂😂😂 kama ndivyo nionekananyo, mwenye “roho nyepesi” basi unakosea. Roho yangu ni roho yenye msimamo! Kama ninaamini kitu haijalishi wapo watu wangapi wa kunipinga! Ndivyo nilivyokuzwa. Ninaipenda Tanzania na ninaamini katika juhudi za Magufuli kuendeleza taifa hili japo sio zote! Hakuna kiongozi aliyekamilika na hata yeye Ana washauri Pia na wao sio wakamilifu. Ninayo zawadi ya critical thinking na ndiyo silaha yangu. Mimi sio bendera fuata upepo kama unavyodhani.
 
kama ndivyo nionekananyo, mwenye “roho nyepesi” basi unakosea. Roho yangu ni roho yenye msimamo! Kama ninaamini kitu haijalishi wapo watu wangapi wa kunipinga! Ndivyo nilivyokuzwa. Ninaipenda Tanzania na ninaamini katika juhudi za Magufuli kuendeleza taifa hili japo sio zote! Hakuna kiongozi aliyekamilika na hata yeye Ana washauri Pia na wao sio wakamilifu. Ninayo zawadi ya critical thinking na ndiyo silaha yangu. Mimi sio bendera fuata upepo kama unavyodhani.
Ok, congratulations
 
Mbn hukuwa unaongea ukweli tangu mwanzo ina maana ulikuwa hujui?
Kwa extent Fulani ukweli sikuujua. Na hata ukweli nilioujua sikupenda kuuongea kwasababu nilikuwa nasoma atmosphere ya huu uzi. Kabla sijachukua break kidogo kwenye huu uzi miezi michache iliyopita niliongea ukweli na wengi walinipinga. Kiukweli siwezi kubadisha mawazo ya mtu lakini muhimu ni kuwajulisha watu. Ukweli waupende wasiupende ilimradi uwepo hewani.
 
Wewe hujanielewa. Mimi sikatai kwamba corruption haipo Bali nakataa upuuzi wa kuiangalia Kenya kama guide ya kutuzuia kuendelea kukomesha ufisadi. Kwamba kisa wao wanatuzidi kwenye ufisadi basi sisi Tukae na kufurahia mahala tulipo. Tunaweza kufika mbali zaidi kwenye haya mapigano. Hatukuwahi kuona ufisadi unafanyika juu serikalini hapa nyuma. Tulijihakikishia kuwa tupo vizuri lakini lately hizi siri zinazofichuliwa zinasema otherwise!
maze unasema ukweli..najua ukweli unauma wengine wakiskia..by the way mimi hushangaa kuna baadhi ya watu wanacheka wenzao ilhali kwao kwao wako tu na hilo tatizo..
1617902797355.png
1617902929201.png
1617903021687.png
 
Hahahaha, even tribalism the situation is the same, that Tanzania is full of tribalism like Kenya, the only difference because Kenyans speak openly about it while in Tanzania it is known to only few people involved. Stupid thinking.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Tanzania kuna njaa sana kuliko kenya ni kwa vile tu tanzania hatuko open kama kenya😝😝
 
Yani mambo yote yaliyofanywa awamu iliyopita yameonekana ni ya hovyo, kila mahali pametolewa dosari, ss hapa km hawajitii doa wao wenyewe sijui imekaaje, nadhani wanajichimbia kaburi wao wenyewe, tatizo la nchi hii hakuna upinzani imara ila kiukweli huu ndiyo ulikuwa mwisho wa hiki chama.

Chuki mbaya sana aisee.
 
Eti Magufuli stand itasababisha foleni kwamba haikuzingatia ujenzi wa barabara ya kimara-kibaha

Na kwamba bwawa la JNHP linajengwa kwa hesabu za kizamani za 70s

Kwahiyo ilani yao waliyoitengeneza wenyewe leo wanaikosoa, kwahiyo mapesa yote yaliyozama pale tumeyatupa tu tuanze upya

Yani kiukweli mambo mengine hata wapinzani wanashangaa, hakuna jema lililofanywa awamu iliyopita, kesho tutaambiwa mradi wa sgr hauna tija mana tayari spika anasema ilipaswa utegemee ujenzi wa Bagamoyo port

Wallahi Africa ni shit hole.
 
Wakuu humu ndani wengine naona tuna reasoning za kitoto, Magu wasn't a Saint na alikuwa na matatizo yake mengi tu na wengi wetu bdo tulimkubali/tunamkubali but tuwe waungwana na tuaknowledge kuwa mengi yamefanyika behind the scenes ambayo alipaswa kuyasuluhisha na kukubali yasemwe ili watu wayajue na yarekebishwe, waswahili wanasema mficha maradhi kifo humuumbua, sasa mlitakaje watu wabaki kimya na uozo upo unafanyika mchana kweupe?????? acheni hizo bwana tunatakiwa tujifunze kuwa hakuna kiongozi aliokamilika duniani na hapa kwa sasa tuombe mama ajaribu kuchukua hatua nzito kwa yale yte ambayo CAG ameyabainisha na sio kila mwaka anatoa reports zake ila hakuna hatua yyte inayochukuliwa
 
Eti Magufuli stand itasababisha foleni kwamba haikuzingatia ujenzi wa barabara ya kimara-kibaha

Na kwamba bwawa la JNHP linajengwa kwa hesabu za kizamani za 70s

Kwahiyo ilani yao waliyoitengeneza wenyewe leo wanaikosoa, kwahiyo mapesa yote yaliyozama pale tumeyatupa tu tuanze upya

Yani kiukweli mambo mengine hata wapinzani wanashangaa, hakuna jema lililofanywa awamu iliyopita, kesho tutaambiwa mradi wa sgr hauna tija mana tayari spika anasema ilipaswa utegemee ujenzi wa Bagamoyo port

Wallahi Africa ni shit hole.
Ila muelewe alichosema kamaanisha kunahitajika interchange au flyover! Mie nilikuwa najua kutajengwa flyover au interchange kuingia highway, sasa nashaangaa kama haikupangwa!
 
Back
Top Bottom