Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,300
- 33,628
Mungiki brt yetu inawaumiza roho sana!Utajua hujui,,BRT project is real in Kenya,
Mungiki brt yetu inawaumiza roho sana!Utajua hujui,,BRT project is real in Kenya,
Litakua jambo jema sanaNmeskia kuna kampuni mpya inakuja na mabasi yake 300 na huyu udart anapigwa chini
still wanaweza kudaiwa!Mimi binafsi nataka Miradi YOTE aliyoanzisha Magufuli imalizike. Lakini naona kuwa kuna vitu ambavyo haviendi Sawa kwenye uendeshaji wa baadhi ya miradi ikiwemo SGR. Kwa nini muda wote huu serikali haikutoa vibali?
Soma vizuri post yangu, hasa jinsi nilivyomalizia hiyo post, I hope you are clever enoughAbsolutely. Although tribalism in Tanzania isn’t severely linked to our Economic and Political realms, we do experience it. Unakuta kuna makabila hayapendi kuoa kwenye makabila mengine au hata tribalism inakuwepo kwasababu ya stereotypes za makabila Fulani. E.g Wasukuma washamba, Wachagga wabahili, Wahaya wanapenda kujionyesha etc
Sikuona sababu ya Mama kuingilia corona to be honest
kuwa na walinzi wachache sana inanipa ishara kuwa kuna maslahi ya watu hayaguswi na hivyo hakuna tishio.Wakuu kwaherini tutaonana siku akipatikana kiongozi mzalendo,sioni matumaini hapa..byebye
All the best
Yes nimeisoma na nimeielewa.Soma vizuri post yangu, hasa jinsi nilivyomalizia hiyo post, I hope you are clever enough
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Nimependa mtari wa MwishoHahahaha, even tribalism the situation is the same, that Tanzania is full of tribalism like Kenya, the only difference because Kenyans speak openly about it while in Tanzania it is known to only few people involved. Stupid thinking.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app


, sent from TECNO L8 km mm

Hivi unajua Tribalism wewe au,Absolutely. Although tribalism in Tanzania isn’t severely linked to our Economic and Political realms, we do experience it. Unakuta kuna makabila hayapendi kuoa/kuolewa kwenye makabila mengine au hata tribalism inakuwepo kwasababu ya stereotypes za makabila Fulani. E.g Wasukuma washamba, Wachagga wabahili, Wahaya wanapenda kujionyesha etc



Sababu ni Corona auKuna mtu alinitukana kwasababu hakutaka kusikia ukweli kuhusu kodi zilizokithiri. nilimwambia hata ukusanyaji wa kodi utapungua. Haya sasa hivi si mimi ninayeongea ni CAG.
This resounding fact your countrymen hawapendi kamwe! Very objective.Were we really less corrupt than Kenya? It’s funny because Instances of Corruption and embezzlement of public funds are always all over the news in Kenya but in TZ, these things happen in secret. No one knows except those involved!And we entertain ourselves by posting tweets about corruption in Kenya not knowing that we are not different than them.
![]()
It is the principle behind the conduct/act e.g. bribe etc., that is the issue. Corruption is a principle, very wicked, the conduct springing from it may vary from country to country or among individuals, but it remains corruption.Lengo langu sio kulinganisha. Corruption is just corruption! Hata kama ni shilingi Mia mbili zimetumika kinyume na taratibu! Lakini kawaida yetu ni heri tuonekane bora kuliko wenzetu kisa tuko corrupt kidogo kuliko wao. Wewe ndio uache upumbavu!
Wewe tribalism unayoijua ni ipi?
I highly doubt it. Tanzania opted for no lockdown.
BRT yenyewe iko wapi?Ni English huelewi ama??hizo Buses Ni za BRT Kenya
Mkuu kama upo na mama haina shida tumeshakuelewa na hakuna atakayekupinga ila usitoe maneno ya ajabu ajabu ili tu tukubaliane na mtazamo wako, hapo ni siasa tu imechukua nafasi.Were we really less corrupt than Kenya? It’s funny because Instances of Corruption and embezzlement of public funds are always all over the news in Kenya but in TZ, these things happen in secret. No one knows except those involved!And we entertain ourselves by posting tweets about corruption in Kenya not knowing that we are not different than them.
![]()
Achana naye ana roho nyepesi, akitoka mama akija mwengine pia atabadili msimamo wake.Kama si kulinganisha basi tungekuwa na corruption index moja na Kenya! Wacha ujinga!
Watajengaje wakati wameanza siasa ya kumpoteza JPM kwenye ramani ili wananchi waache mawazo naye twende pamoja na mama, Africa c mchezo aisee kila rais anakuja na yake ya kumchafua aliyepita.Kuna interchange video yake iliwahi kusambaa mitandaoni, ni ya pale baada ya salender Bridge kwenye mataa, ile ndio bab kubwa kama itajengwa, kwa jinsi ilivyo inahitaji mtu mwenye maamuzi magumu kama Jpm kujenga, tuombe Mungu Waliobaki wajitutumue.
DuhYani eti naye cag anahoji kwa nn mradi wa bwawa la nyerere unatumia upembuzi yakinifu ulifanyika 1970, ebu nisaidie hvi hii pia ni kazi yake anatafuta visababu tuu