Kaka hapa tulipofika corona tulishaishinda kitambo kinachofuata ni kuwafurahisha wazungu tu,angalia death rate,age versus Corona,pia tuangalie death trend ya miaka iliyopita, tuangalie elimu,maisha ya Waafrika mnaweza sema hatuna na rekodi za corona mi naamini kwa maisha yetu Watanzania tungeokotana barabarani kama wazungu walivyotabiri.Angalia mimi nakula bata mwanzo mwisho [emoji38][emoji38][emoji38] pembeni nna washua ila mtaa wetu uko shwari kabisa sijawahi skia kifo cha corona I swear!!!Toka Corona ianze.