Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Itafahamika tu soon mana kasi ya mama ktk kubadili yote ya awamu ya tano ni dhahiri but tutarudi hapa tukiwa na jibu moja kwamba pesa zitaonekana mtaani lkn bureaucracy itaongezeka maradufu, hii nchi imechezewa sn ilipaswa ipitie magumu tuliyopitia enzi za Magu zen tuishi maisha bora ya kweli, hata wenzetu walioendelea hawakuendelea kirahisi rahisi tu eti kila kitu ulegeze.

Unatamka kabisa hadharani kwamba mwekezaji asikilizwe, eti sisi ndiyo tunaowahitaji zaidi kuliko uhitaji wao kwetu, mwekezaji gn anapenda kulipa kodi? Mm yangu macho na natabiri huyu mama kuendelea kutoa boko kadri siku zinavyozidi kwenda, subiri muone, we unadhani uongozi mchezo, hizi nchi za kiafrika zinahitaji viongozi waliojitoa sadaka na co viongozi wa kucheka cheka tu na vimisemo misemo, hizi nchi ndizo shamba la bepari so lazima uwe kauzu.

Halafu km utachunguza vzr msimamo wa VP na President ni tofauti, ss sijui itakuwaje yn.
Sio mwekezaji tuu ata wafanyabiashara mfano angalia marekani mabilionea wanalipa kodi ndogo sana na wengine wanakwepa kabisa na nchi yenye watu waliostqarabika
 
"Najua tuna ubia na Barrick kupitia Twiga (kampuni ya madini) lakini ndani yake changamoto ni nyingi kuna masuala ya kodi hayajakaa vizuri, kuna masuala mengine hayajakaa vizuri. Tusifike mahali tukaoneshana misuli sisi ndiyo wahitaji ," Rais Samia Suluhu Hassan


Ama kweli 2 sio 1
Hapo Magu angewakoromea mpaka wangekaa, mama anasema tuwapigie magoti tu, sisi maskini 😭😭😭😭😭 tunakukumbuka Magufuli


Lbda alimaanisha maswala ya kodi kama alivyotoa muongozo kwa tra juu ya wafanya biashara.
 
"Sisi ndio wahitaji"??? Kwani wao wametoka huko ulaya mpaka TANZANIA sio wahitaji!? Yaani huyu mama aise!!! Mm nakumbuka Magu akipokea ripoti ya makinikia,wazungu walitutshia kuondoka, akasema,"natamani kusikia wameondoka hata leo" badala yake,wakaomba mazungumzo na Magu,Sasa huyu mama Anawaruhusu watukanyage wanavyotaka. Madini yataanza kugawana tena na Hawa wazungu mda si mrefu wataanza kutuwekea masharti ya ajabu.mm huyu mama nina mashaka naye tokea mwanzo.wanaosema tumpe mda ni vipofu hawajafunguka macho.

Lbda alimaanisha maswala ya kodi kama alivyotoa muongozo kwa tra juu ya wafanya biashara.
 
Tuende na Uzi unavyoenda,Mimi sioni sababu ya kuanza kuvunjika Moyo ,mwendazake alikua na ushupavu wake hauwezi kupata mtu kama yeye,Tumepata kiongozi mwingine hajamaliza hata mwaka mmeshaanza kulia tuache tabia mbaya
Mtu tunampima kwa hatua zake za Kwanzaa jpm alianza kwa spidi kali tukasema nguvu za soda ila ndio ilikua spidi yake, huyu maza hii ndio spidi yake, kwa spidi ya maza basi wakenya watazidi kutuacha na huu uzi utakua hauna maana tena
 
The Great a.k.a Genius.
JamiiForums-1942170437.jpg
 
Mradi tu wa Bomba la mafuta Magufuli aliolitoa Kenya Kuja Tanzania huyu mama hata angepewa miaka 10000 asingeweza

TRA ilitoka kukusanya 800B mpaka 1.3T per month, sijui ni kodi gani hizo na investments gani zinaongelewa hapo!

Huyu mwanamke uwezo wake ni mdogo sana and it's official.
Nimeshangaa Sana anavyo omba wafanyabiashara walipe Kodi...Kodi kulipa ni lazima na ipo kisheria. Nchi ziluzoendelea huwezi kusikia zikibembeleza kwenye swala la kulipa Kodi. Mama nchi itamshinda. Nimeona na Nape eti atakuwa anamshauli. Kiukweli tuna raisi wa ajabu.
 
Magufuli: Mwekezaji akiwekeza, zile kazi zinazoweza kufanywa na watanzania wapewe watanzania

Samia: Mtu anawekeza mnalazimisha aweke Mtanzania, kila mwekezaji ana haki ya kuweka mtu anaemwamini yeye, kwann umlazimishe?

SA wenzetu wanapigania wafanye kama alivyokuwa anafanya Magu, ila Samia anataka kufanya kinyume chake

asee
 
Bado nina imani na Mama.
Ni mapema sana kuanza kuvunjika moyo.

Nimekuta pages kibao nikajua labda ni picha zimepostiwa humu kumbe ni lawama kwa Mama!

Magu hayupo na hatakuwepo tena nashangaa kwa nini hamtaki ku-move on au ili muoneoane mlikuwa mnamkubali JPM zaidi yangu/yetu?

Kuondoka kwa JPM kumewaumiza wengi nikiwemo lakini imebidi tukubaliane na matokeo maana hakuna kitu nitafanya/tutafanya.

Inabidi mkubaliane na ukweli kuwa JPM hayupo na hatakuwepo tena.

Kilichobaki ni kumuombea Mama ili miradi yote iliyo anzishwa na JPM ikamilike.

Nafahamu wengi humu mko kama mimi...yaani hamna vyama ila tu ni uongozi wa JPM uliwavutia na sasa mnatamani/tunatamani na Mama apite mule mule.

Msivunjike moyo kirahisi namma hiyo tuungane na Mama kujenga nchi.

TANZANIA KWANZA MENGINE BAADAE.
Hilo halifichiki Magu amefanya makubwa sana na kutoa mwelekeo wa nchi ametengeneza mifumo ambayo kama mama akiitumia vyema itasaidia kupeleka nchi mbele
 
Hilo halifichiki Magu amefanya makubwa sana na kutoa mwelekeo wa nchi ametengeneza mifumo ambayo kama mama akiitumia vyema itasaidia kupeleka nchi mbele
Mama hatakiwi kurelax ruksa kutabasamu ila matendo yake inabidi yawe makali hawa watu bila fimbo fimbo hawaendi surprise kwao ni muhimu JPM ametutengezea kitu kimoja kizuri cha kuwajibishana bila kupepesa macho leo imekuwa kawaida kumuwajibisha mtu ila zamani ilikuwa ni issue.Utamaduni huu usife uendelee.
 
Mama hatakiwi kurelax ruksa kutabasamu ila matendo yake inabidi yawe makali hawa watu bila fimbo fimbo hawaendi surprise kwao ni muhimu JPM ametutengezea kitu kimoja kizuri cha kuwajibishana bila kupepesa macho leo imekuwa kawaida kumuwajibisha mtu ila zamani ilikuwa ni issue.Utamaduni huu usife uendelee.
Mimi kwa knowledge yangu kiasi ya kwny uchumi huwa zinajitokeza dhana mbili kwa mtawala yoyote linapokuja swala la uchumi, especially uchumi mkubwa Contractionary na Expansionary policy iwe upande wa fiscal au upande wa monetary zote zina faida yake na hasara
 
Mimi kwa knowledge yangu kiasi ya kwny uchumi huwa zinajitokeza dhana mbili kwa mtawala yoyote linapokuja swala la uchumi, especially uchumi mkubwa Contractionary na Expansionary policy iwe upande wa fiscal au upande wa monetary zote zina faida yake na hasara
JPM yeye alijikita kwny contractionary monetary/fiscal policy moja kati ya changamoto zake upande huu wa policy ni hupunguza pesa kwny mzunguko na ina sababu za msingi za kufanya hivyo ndo maana ilifika levo watu wanalalamika pesa hakuna mifukoni kusema kweli hali ilikuwa inaenda kuwa worse zaidi kwa maono yangu kama angeendelea kukaza zaidi,uzuri tulikuwa tunaona pesa inakwenda wapi na imani kwa mzee anatupenda Watanzania akiona tunaumia sana atafanya vinginevyo
 
JPM yeye alijikita kwny contractionary monetary/fiscal policy moja kati ya changamoto zake upande huu wa policy ni hupunguza pesa kwny mzunguko na ina sababu za msingi za kufanya hivyo ndo maana ilifika levo watu wanalalamika pesa hakuna mifukoni kusema kweli hali ilikuwa inaenda kuwa worse zaidi kwa maono yangu kama angeendelea kukaza zaidi,uzuri tulikuwa tunaona pesa inakwenda wapi na imani kwa mzee anatupenda Watanzania akiona tunaumia sana atafanya vinginevyo
wakati wote nilikuwa naomba imalizike hii miradi mikubwa ya kimkakati ambayo inaweza kuleta pesa chap chap direct au indirect ili aweze angalau kupump pesa kwny circulation through expansionary policy ili uchumi uchangamke kdg kurudisha ile purchasing power kwa mmoja mmoja maana ina nafasi na faida zake nyingi tu katika uchumi.
 
wakati wote nilikuwa naomba imalizike hii miradi mikubwa ya kimkakati ambayo inaweza kuleta pesa chap chap direct au indirect ili aweze angalau kupump pesa kwny circulation through expansionary policy ili uchumi uchangamke kdg kurudisha ile purchasing power kwa mmoja mmoja maana ina nafasi na faida zake nyingi tu katika uchumi.
Mama naona anaelekea kwny Expansionary hawezi kuhold hii tight situation.. Watanzania bado tuna ustahamilivu kdg angekausha amalizie hii miradi mikubwa kibabe ikianza kumuingizia pesa angerudi huku maana tayari ana vyanzo vipya ama pesa iliyokuwa inamezwa na miradi ingeingizwa kwny expenditure kwny level ya kuathiri uchumi wa mmoja mmoja
 
Otherwise wazungu hatupaswi kuwapa ufagio wowote ule yatengenezwe mazingira ya win win situation kwa kutanguliza maslahi mapana ya nchi iliyojipambanua kujitegemea.Swala la COVID naliskilizia maana hata sielewi mchezo gani unachezwa hapa.Tusubiri kamati ndo tuseme.
 
Magufuli: Mwekezaji akiwekeza, zile kazi zinazoweza kufanywa na watanzania wapewe watanzania

Samia: Mtu anawekeza mnalazimisha aweke Mtanzania, kila mwekezaji ana haki ya kuweka mtu anaemwamini yeye, kwann umlazimishe?

SA wenzetu wanapigania wafanye kama alivyokuwa anafanya Magu, ila Samia anataka kufanya kinyume chake

Otherwise wazungu hatupaswi kuwapa ufagio wowote ule yatengenezwe mazingira ya win win situation kwa kutanguliza maslahi mapana ya nchi iliyojipambanua kujitegemea.Swala la COVID naliskilizia maana hata sielewi mchezo gani unachezwa hapa.Tusubiri kamati ndo tuseme.
Kamati jo ya nini hapa? Kamati ni kiini macho tu kuvalidate linalotaka kifanyika.

Full stop.
 
Back
Top Bottom