The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538











Mzibua vyoo maarufu huko Kibera!
Matusi sasa?








Hehehehehe unadhani wao wanavyotukana marehemu wa Tz cc tunafurahi.Matusi sasa?








Hapo umezidi lakini, heshima kiasi ata ka huwapendiHehehehehe unadhani wao wanavyotukana marehemu wa Tz cc tunafurahi.
Koroga chupa.Hapo umezidi lakini, heshima kiasi ata ka huwapendi
mahema type




Haina wasi ✌️Koroga chupa.
Angalia iyo lami apo chini yn ni ubabaishaji wa ajabu sana alafu kuna mtu kafungulia uzi etimahema type![]()



Mm hawa huwa naenda nao tit for tat kudadadeki nginja nginja wakimwaga dona namwaga sembe, ndivyo mkenya anataka na wala sio kiustaarabu, mkenya hapendi ustaarabu mana kwao ustaarabu ni kipengele na hakuna huo msamiati.Haina wasi![]()





Bado Sana,, expressway 😜
Hahahaha weka na urefu wake tujue ngp


km 5? Wakati watu wanajenga BRT ukiunganisha unatoka kaskazini mpk kusini ya Kenya 



Hehe,, overpass Ni 10km,,,5 umetoa wapi???? this expressway pia iko na BRT ,THIKA SUPERHIGHWAY BRT pia iko underway 😄😜😜Hahahaha weka na urefu wake tujue ngpkm 5? Wakati watu wanajenga BRT ukiunganisha unatoka kaskazini mpk kusini ya Kenya
![]()
Mnachora mistari ya BRT au co? Vp petition nawe umehusika? Alafu hii petition mngestuka mapema sizani km mngekuwa na huyu tembo mweupeHehe,, overpass Ni 10km,,,5 umetoa wapi???? this expressway pia iko na BRT ,THIKA SUPERHIGHWAY BRT pia iko underway![]()






Kwahiyo watu wataimiliki hyo 10km kwa miaka 27 au sioHehe,, overpass Ni 10km,,,5 umetoa wapi???? this expressway pia iko na BRT ,THIKA SUPERHIGHWAY BRT pia iko underway![]()







