Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna mfanya biashara anayependa kulipa Kodi,..ebu fikiri watu kama akina messi wanapelekwa mahakamani kwa ajili ya Kodi,wakati wanalipwa mabillioni ya pesa every week..!!!..sometimes hawa walipakodi lazima waminywe walazimishwe kulipa Kodi..lakini hii si bure kuna wafanyabiashara flani flani nawajua wana asili ya ki-asia walikuwa wanaminywa sana katika utawala wa magu kuhusu masuala ya Kodi,hao lazima watakuwa na mkono katika hili

Lakini wakuu tumempoteza mwamba,na hatuna la kufanya..hatuna budi kumkubali,amenifurahisha katika kutuhakikishia kwamba miradi mikubwa aliyoianzisha mwamba(urithi wetu) kwamba itamalizika..mi binafsi naona itatuchukua muda kidogo kuona mega projects zinafanywa,maana hizo zina hitaji uthubutu na msimamo mkali kuzianzisha...

Dah na hilo la covid aisee mama asiturudishe nyuma,japokuwa naona msimamo wake ni thabiti juu ya covid but kuna watu ni kama wanamshawishi..
 
Halina akili hilo
Pumba tupu nimeishia first paragraph
😂😂😂😂😂😂 Sawa. Kwako wewe Sina akili na ninaongea pumba tupu lakini hukuweza kujibu Maswali yangu Na Ndio Maana umebakia kunitukana tu. Dharau Ndio level yako ya maongezi.
 
Trump mwenyewe anakwepa kodi, yaani matajiri ndio wakwepa kodi wakubwa, wakiguswa wanalalamika
Hakuna anayekataa kodi. Serikali ya Tanzania haiwezi kwenda bila kodi. Tatizo ni kodi zilizokithiri kwasababu hazileti mvuto wa kufanya biashara.
 
Tuende na Uzi unavyoenda,Mimi sioni sababu ya kuanza kuvunjika Moyo ,mwendazake alikua na ushupavu wake hauwezi kupata mtu kama yeye,Tumepata kiongozi mwingine hajamaliza hata mwaka mmeshaanza kulia tuache tabia mbaya
 
mama .. mambo mengine yote nitamvumilia ila akiruhusu watu kufanya migomo, mikutano ya siasa pale wapinzan wanapojisikia nadhan hapo atakuwa amevuka upole..

mim naona siasa ndo zinatuchelewa kwenye maendeleo.. watu badala tufocus kwenye kufanya kazi, tukakuwa tuko busy kufatilia fujofujo za maandamano
Hiyo ndio redline yangu kwake

Yaani kama ulikua kichwani kwangu vile, ahamasishe watu kuchapa kazi
 
Mimi nafikiri hata serikali inakusanya kodi kwa mabavu kutoka kwa wafanyakazi.
Nashauri wawe wanalipwa pesa yao yote kisha watalipa kodi kwa muda wao😝
Hii nchi bila nginja nginja mwendo wa mateka hatutoboi, Magufuli keshaprove what kind of pace we should adopt and suit the caliber anyway tumpe muda lakini mmmh
 
Bado nina imani na Mama.
Ni mapema sana kuanza kuvunjika moyo.

Nimekuta pages kibao nikajua labda ni picha zimepostiwa humu kumbe ni lawama kwa Mama!

Magu hayupo na hatakuwepo tena nashangaa kwa nini hamtaki ku-move on au ili muoneoane mlikuwa mnamkubali JPM zaidi yangu/yetu?

Kuondoka kwa JPM kumewaumiza wengi nikiwemo lakini imebidi tukubaliane na matokeo maana hakuna kitu nitafanya/tutafanya.

Inabidi mkubaliane na ukweli kuwa JPM hayupo na hatakuwepo tena.

Kilichobaki ni kumuombea Mama ili miradi yote iliyo anzishwa na JPM ikamilike.

Nafahamu wengi humu mko kama mimi...yaani hamna vyama ila tu ni uongozi wa JPM uliwavutia na sasa mnatamani/tunatamani na Mama apite mule mule.

Msivunjike moyo kirahisi namma hiyo tuungane na Mama kujenga nchi.

TANZANIA KWANZA MENGINE BAADAE.
 
Itafahamika tu soon mana kasi ya mama ktk kubadili yote ya awamu ya tano ni dhahiri but tutarudi hapa tukiwa na jibu moja kwamba pesa zitaonekana mtaani lkn bureaucracy itaongezeka maradufu, hii nchi imechezewa sn ilipaswa ipitie magumu tuliyopitia enzi za Magu zen tuishi maisha bora ya kweli, hata wenzetu walioendelea hawakuendelea kirahisi rahisi tu eti kila kitu ulegeze.

Unatamka kabisa hadharani kwamba mwekezaji asikilizwe, eti sisi ndiyo tunaowahitaji zaidi kuliko uhitaji wao kwetu, mwekezaji gn anapenda kulipa kodi? Mm yangu macho na natabiri huyu mama kuendelea kutoa boko kadri siku zinavyozidi kwenda, subiri muone, we unadhani uongozi mchezo, hizi nchi za kiafrika zinahitaji viongozi waliojitoa sadaka na co viongozi wa kucheka cheka tu na vimisemo misemo, hizi nchi ndizo shamba la bepari so lazima uwe kauzu.

Halafu km utachunguza vzr msimamo wa VP na President ni tofauti, ss sijui itakuwaje yn.
Wanatkiwa wajifunze kwa Singapore na China njia gani zilipitia kufikia hapo zilipo leo kimaendeleo. Bila kuwa na udikteta wa maendeleo hizi nchi maskini hasa za africa hazitaweza kutoboa . Tukiwaendekeza sana wageni kwa sababu za uwekezaji tukalegeza sana masharti kwa kisingizio cha soko huria kila siku tutakuwa tunalia tu na umaskini. THERE IS A PRICE TO PAY FOR ANY KIND OF DEVELOPMENT BE IT FAMILY DEVELOPMENT OR NATIONAL DEVELOPMENT.
 
playing cards [emoji812]️ [emoji815]️ [emoji813]️ [emoji814]️
IMG_1617734970.966819.jpg
 
Back
Top Bottom