Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapo kwenye kumpata M'badala ni ngumu.

Tujiandae kuwasimulia watoto wetu kuwa hapo zamani za kale alikuwepo Mwamba mmoja mzalendo aliye kuwa anaitwa JPM.

Huku tukiwasimulia namna alivyo pambana kwenye miradi mikubwa ya maendeleo.

Huu umeme ni bei rahisi kwa sababu yake.

Hizi barabara nzuri na nyingi ni kwa sababu yake...alizipambania yeye.

Hizi treni za SGR aliyefanikisha ni yeye.

Unaona huu umeme unaowaka kila kijiji? Yeye ndio alifanikisha.

Very sad.
Japo angemaliza na kipindi 2 tu.
😭😭😭
 
Wanaharakat uko washaanza kujihesabia pointi wakina fatma karume na wenzake , mama naona anaanza kulegeza legeza kila eneo Acha tungojee swala la corona atalishughulikiaje, mambo ya kurudi kuanza kumwabudu mzungu kama wakenya hatutakii aisee, mama nampa pointi kwenye swala moja tuu kulegeza sheria za vyombo vya habari na uhuru wa kujieleza basi lakin uku kwingine sijui
yeye binafsi hawezi kulegeza ,,,sheria za ubanaji zilishatungwa na kupitishwa bungeni
 
wakuu daah pale ilala boma naona bara bara ishaanza kufumuliwa mwenye info tujuzane kulikoni...?
Tayari kazi ishaanza BRT phase two🇹🇿🇹🇿
2551C6E6-26A8-4149-9E0F-A39013C44231.jpeg
3DECDD86-A36E-4EAE-A7C2-9A7669FF2B67.jpeg
314B62CF-C6AF-47D9-B3B3-95AC16FC2A7A.jpeg
14EA8533-2EBC-4BF7-8028-1220FAF13BD5.jpeg
EA5447E7-9B4B-43E9-8C0A-4A97CC756A96.jpeg
882E43BA-1360-4707-A5EF-476D6D6E9573.jpeg
741E2B58-E00F-47D2-B381-1D4158EC60F1.jpeg
 
BRT mchezo!! take a look, new modern flyover pale uhasibu, alafu brt ya Mbagala I can see now wako serious sijapata wasaa wa kupiga picha lkn mambo ni bam bam, pia usisahau kwamba hii flyover inaenda sanjari na ile ya Chang'ombe yn hii ikiisha ile nayo imeisha
IMG_20210328_122324_704.jpg
IMG_20210328_122331_730.jpg
IMG_20210328_122323_285.jpg
 
Wakati nakua nilimuliza mwalimu wa dini kabla ya huu utamaduni wa madhehebu kuingia Africa Mwenyezi Mungu alituhukumu kwa kigezo gani?!Alinijibu kwa urahisi "Nafsi" ukifanya lolote nafsi yako ikakusuta from the first place (that's the karma) amini rekodi ya dhambi yako imeandwika.Naishi kwa imani hii kwa miaka mingi sasa!
 
Wakati nakua nilimuliza mwalimu wa dini kabla ya huu utamaduni wa madhehebu kuingia Africa Mwenyezi Mungu alituhukumu kwa kigezo gani?!Alinijibu kwa urahisi "Nafsi" ukifanya lolote nafsi yako ikakusuta from the first place (that's the karma) amini rekodi ya dhambi yako imeandwika.Naishi kwa imani hii kwa miaka mingi sasa!
Correct me if I'm wrong!!!
 
Back
Top Bottom