Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii sio avatar yangu pendwa ipo moja ndo nilianza nayo nimeipoteza naisaka nikiipata itabidi muizoee tu. Halafu kwenye vijembe nshazoea😂😂😂😂be free
Safi naona umerudisha avatar yako, hakuna namna hiyo ndiyo utambulisho wako kwa fans wako baki na hyo hyo mana uki change avatar mtu anaweza akakupiga kijembe pasipo kujua ila akiona hyo avatar kuna mda anaweza akakuvumilia, hyo ndio faida ya avatar.
 
Tunapo inua uchumi wetu na ulinzi tunaenda kwenye level ya juu
QBZ-03
images (4).jpeg
images (5).jpeg
 
Hii sio avatar yangu pendwa ipo moja ndo nilianza nayo nimeipoteza naisaka nikiipata itabidi muizoee tu. Halafu kwenye vijembe nshazoeabe free
Hehehehehe utapata tabu sana mana wadau hasa kwenye ile thread yetu washakuzoea na hii na unajionea mwenyewe unapo change wanakuambia rudisha ile

By the way, cjaangalia magoli ya juzi na ww huku post kabisa why?
 
Kwahiyo we unaamini kabisa matibabu aliyoyapata Nairobi asingeyapata Dar, haya tuambie ni matibabu yepi hayo.
Alifanyiwa surgery Nairobi. Kuunganisha vipande vipande vya mwili wake. Alipigwa risasi zaidi ya kumi kwa hivyo shughuli ya kutoa risasi pia ilifanywa. Halafu sijasema kwamba nyie hamuwezi kufanya upasuaji huo maana sijui uwezo wenu.
 
Alifanyiwa surgery Nairobi. Kuunganisha vipande vipande vya mwili wake. Alipigwa risasi zaidi ya kumi kwa hivyo shughuli ya kutoa risasi pia ilifanywa. Halafu sijasema kwamba nyie hamuwezi kufanya upasuaji huo maana sijui uwezo wenu.
Ss mbn unakataa kwamba alipelekwa Nairobi kwa sababu za kiusalama (kisiasa)

Alafu unasema eti hujui uwezo wetuu kiafya, really? Tunapost humu 24/7 na unaona jinsi tulivyo vzr kwenye sekta ya afya ukanda huu na bado unasema hujui, ss unafanya nini humu km huelewi somo?
 
Ss mbn unakataa kwamba alipelekwa Nairobi kwa sababu za kiusalama (kisiasa)

Alafu unasema eti hujui uwezo wetuu kiafya, really? Tunapost humu 24/7 na unaona jinsi tulivyo vzr kwenye sekta ya afya ukanda huu na bado unasema hujui, ss unafanya nini humu km huelewi somo?
Hahaha mpo vizuri kwenye kutibu mambo madogo madogo kama malaria. Sasa mambo makubwa kama upasuaji ndio bado sina uhakika. Ila kama mna uwezo huo hakuna shida. Sijapinga.
 
Hahaha watazoea tu.Tatizo lilikua mb
Hehehehehe utapata tabu sana mana wadau hasa kwenye ile thread yetu washakuzoea na hii na unajionea mwenyewe unapo change wanakuambia rudisha ile

By the way, cjaangalia magoli ya juzi na ww huku post kabisa why?
 
Mnachoogopa kusema ni kuwa Kenya ina matibabu bora kushinda nchi yoyote hapa Africa Mashariki. By the way sio kweli kwamba Tundu hakutibiwa Dodoma kwa sababu ya usalama. Hospitali ya kwanza ambayo Tundu Lissu alifikishwa ni hospitali ya Dodoma alipofanyiwa matibabu ya dharura ikiwemo kuongezewa damu na mambo mengine lakini ilipofahamika kwamba hali yake ilikuwa inazorota na kwamba alihitaji upasuaji wa hali ya juu ikabidi aletwe kwenye superpower wa eneo hili ili kufanyiwa upasuaji. Akakaa hospitalini kwa zaidi ya mwezi moja hadi akapona. Halafu mnakuja huku kuongea matope.
We ulifikiri watu wanamuhusu kwa ukaribu walitazama matibabu pekee....vipi kuhusu security yake?!acha kutafuta kujikweza mdogo wangu Tony.
 
🤣🤣🤣🤣 Tony254 so ile 10b ksh mulitupa bure na zingine mukapewa kwa loan juu



JPM was a GENIUS to decipher the trap ya covid 19. Yani kwa African countries nyingi zita afectiawa na huu ugonjwa.. "dept trups"!..... it's going too be messy. For some African countries future yao doesn't look good at all and it's sad because its it's just some few people want to benefit out of it...


mchina ni mjanja sanaaaaaa... yani saivi husiki chochote kuhusu covid kutoka china its like wapo back to normal but the rest of the world covid ndo tatizo na topic. Mnajua mchina kakopesha karibia dunia nzima?.. Anajua mataifa mengi yatashindwa lipa hayo madeni just kupitia huu ugonjwa wa covid.. and John Pombe Joseph Magofuli ndo akaweza ku decipher huo utopolo.... Sasa hayo ni Maono. he was just a different breed🙌🏽... Rest in peace baba yangu. We will never forget this. Tanzania's we thank you 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
 
In what sense. A fly over is a fly over, it serves only one purpose.

To me as long as structural Engineering is is okay, I don't see any issue with aesthetic.
Mbona hamujengi majumba ya kizamani kwann munajenga glass building kwann musijenge yale majengo ya miaka 40 iliopita tukaona kweli hamuendi na wakati😂😂

Munajenga flyover za kizamani na cost yake utakuta ni mara mbili ambayo mungejenga modern structure au nasema urongoo😁😁
 
Mna roho mbaya ya kinyama huku mkijaribu kujifanya kwamba nyie ni wakarimu

Sio kwamba tuna roho mbaya,Kama una kumbukumbu nzuri,kuna wakati Msumbiji waliwafukuza Watanzania kwa kuwanyanganya Mali zao,kuwabaka ,kuwapiga na kuwafukuza! Sasa Sisi tukiwarudisha kwao kuna kosa gani?wao si walifikiri hawatapata shida,Kila mtu apambane na Hali yake.
 
Hivi hizi barakoa zinazovaliwa na 99% ya watu si zinafunika mdomo na pua tu?

Kwa mfano ukiwa umevaa barakoa iliyofunika mdomo na pua halafu aje mtu mwenye mambukizi ya kirusi akohoe pembeni yako halafu vimaji vya kukohoa virukie machoni mwako...si utapata kirusi?

Nimeuliza hivi kwa sababu "tuliambiwa tusishike pua, mdomo na macho" halafu barakoa zinazo pigiwa upatu na kuvaliwa sana ni hizo za kufunika pua na mdomo tu.
 
Back
Top Bottom