LURIGA
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 2,511
- 3,921
Ndugu siyo kila jambo linakuwa solve immediately kiasi hicho, Suala la makazi holela huwezi kulizuia tu kwa kutoa tamko. Kumbuka wanaogawa viwanja siyo wizara ni halmashauri za majiji, manispaa, miji na miji mdogo. Je hizo halmashauri za majiji, manispaa, miji na miji zina fedha za kupima viwanja kulingana na kasi ya ukuwaji wa miji? Kama hazina ina maana waziri asitopishe ujenzi katika squarter area halafu then hupimi viwanja unategemea utaeleweka sana na wakati huo huo bosi wako (rais) anahitaji kura. Kabla ya JPM miji na majiji na manispaa zilikuwa na masterplan ya hivi karibuni? Viwanja havipimwi bila masterplan ya mji na kuandaa masterplan inachukua muda mrefu kidogo. Haya mambo tunayaongelea kinadharia zaidi ila ukienda kwenye ground ndio maana nasema hii wizara ni ngumu. Hata hivyo wizara imeweza kufanya master plan ya majiji na miji kwa miaka 20 au zaidi ijayo. SI-SUPPORT UJENZI HOLELA ILA PIA HILI TATIZO LA MAKZI HOLELA HALINA SOLUTION YA MUDA MFUPI INACHUKUA MUDA!Atoe japo tamko kuhusu ujenzi holela, je we unapenda huu ujenzi wa kipumbavu unaoendelea hapa nchini hasa Dar? Km hupendi je nani anayepaswa japo kukemea ujenzi wa aina hii km co waziri mwenye dhamana.
Ameshindwa japo kutoa tamko la kuzuia ujenzi wa namna hii ss utasemaje tumvumilie waziri goigoi km huyu? Hawezi kazi plus history yake ya upigaji nnayo so simkubali kabisa huyu mzee.
Sent using Jamii Forums mobile app
.. kuna yule mmoja hapo nyuma bado yupo
