Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi



Rwanda very soon watateka soko la Africa mambo mengi yanambeba kumpiku mu Ethiopia

Rwandair ikipartner na Qatar airways itakuwa a major airline in Africa. Africa kwa sasa ina only three major airlines na Rwanda itajoin hii group. Lakini Rwandair haiwezi na haitawahi kuipiku Ethiopian airlines ambayo ina ndege zaidi ya mia moja na inaenda to more than 100 destinations. Ethiopian airlines ni a very serious airline na sio airline ya kuchezea. Rwandair haiwezi kuifikia Ethiopian airlines
 
Washkaji hii nchi ina mambo mengi sana yanayoendelea nyuma ya pazia,in short ni kwamba mafisadi yameshinda sasa tunarudi kulee kwa wapigaji,na hao wapigaji hawatoki mbali bali mulemule ccm,jamaa walimchukia sana mzee pombe kwa kuwabana,now wamerejea kwa kishindo
 
Wakipartner na
Rwandair ikipartner na Qatar airways itakuwa a major airline in Africa. Africa kwa sasa ina only three major airlines na Rwanda itajoin hii group. Lakini Rwandair haiwezi na haitawahi kuipiku Ethiopian airlines ambayo ina ndege zaidi ya mia moja na inaenda to more than 100 destinations. Ethiopian airlines ni a very serious airline na sio airline ya kuchezea. Rwandair haiwezi kuifikia Ethiopian airlines
na
Rwandair ikipartner na Qatar airways itakuwa a major airline in Africa. Africa kwa sasa ina only three major airlines na Rwanda itajoin hii group. Lakini Rwandair haiwezi na haitawahi kuipiku Ethiopian airlines ambayo ina ndege zaidi ya mia moja na inaenda to more than 100 destinations. Ethiopian airlines ni a very serious airline na sio airline ya kuchezea. Rwandair haiwezi kuifikia Ethiopian airlines

Wakifanya partnership na Qatar watawapiku trust me
 
Washkaji hii nchi ina mambo mengi sana yanayoendelea nyuma ya pazia,in short ni kwamba mafisadi yameshinda sasa tunarudi kulee kwa wapigaji,na hao wapigaji hawatoki mbali bali mulemule ccm,jamaa walimchukia sana mzee pombe kwa kuwabana,now wamerejea kwa kishindo
Kwanini Kwa sababu Naona mama Samia kama Yuko seriuos
 
Wakuu VPN nzuri free isio na mambo ya registration ni ipi, hii niliyonayo full miyeyusho ads kama zote inakata kila baada ya dakika 2
 
Wakuu VPN nzuri free isio na mambo ya registration ni ipi, hii niliyonayo full miyeyusho ads kama zote inakata kila baada ya dakika 2
Download DewVPN hautajuta.

Dew VPN.jpg
 
Washkaji hii nchi ina mambo mengi sana yanayoendelea nyuma ya pazia,in short ni kwamba mafisadi yameshinda sasa tunarudi kulee kwa wapigaji,na hao wapigaji hawatoki mbali bali mulemule ccm,jamaa walimchukia sana mzee pombe kwa kuwabana,now wamerejea kwa kishindo
Tujipe muda tutyaona tu kama yapo. Bahati nzuri Magu ametufungua watz wengi kwa hiyo kama mambo yakienda hovyo ni rahisi sana kujua maana Magufuli ni kama ametuwekea standard ya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma. Huyu mama atakukuwa judged against the magufuli standard!
 
Wakipartner na
na

Wakifanya partnership na Qatar watawapiku trust me
Unapingana kwa data zipi? Hapa sio mahala pa kuleta maneno vya kijiweni. Leta evidence. Sio kuongea tu. Watawapiku kwa idadi ya ndege au idadi ya abiria au kwa idadi ya destination au kwa jambo lipi? Fanya research kabla uje hapa kuongea.
 
Unapingana kwa data zipi? Hapa sio mahala pa kuleta maneno vya kijiweni. Leta evidence. Sio kuongea tu. Watawapiku kwa idadi ya ndege au idadi ya abiria au kwa idadi ya destination au kwa jambo lipi? Fanya research kabla uje hapa kuongea.
kanchi chenye airport mbili tena moja ndo inajengwa! Kanachotegemea third right permits to pick up PAX from neighbors! ngoja tuone..
 
Watu mbona mnakubali kuishi chini ya dictatorship? Mbona mnakubali kufungiwa mtandao kana kwamba mnaishi North Korea? Sisi huku tunaingia kwenye mtandao bila kutumia VPN. Nataka kuwacheka ila nahisi huruma. Udikteta kama huu wa CCM mnastahili kuukataa kabisa.
Wakuu VPN nzuri free isio na mambo ya registration ni ipi, hii niliyonayo full miyeyusho ads kama zote inakata kila baada ya dakika 2
 
I miss you JPM, I spent more than a half an hour looking at this picture I don't know why.

I wish leo ungepokea ile report, kuna maneno yako huwa unayaongea ambayo huwa husomi sehemu yanatoka kichwani na hukosei, mic u dady View attachment 1737226

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee ilinichukua muda sana kuamini, sometimes I thought naota hivi then I will wake up na nione ni skmulizi tu ndotoni jamaa yuko imara..
Jamaa ametuheshimisha sana kama Taifa na nilikuwa nina matumaini sana na future ya Tz,
Gone too soon.
But ametuachia msingi nzuri kama nchi, we will go far beyond
 
Back
Top Bottom