Kaka tuendelee kumuenzi Magu,huu ndo muda tunaotakiwa tuwe na mshikamano wa nguvu kubwa naamini tutaweza tulimpenda Ila mwenyez mungu alimpenda zaidi jikaze bro tuko pamoja siku zoteNinachofarijika ni kwamba ama kwa hakika watanzania tumemuombolezea Magufuli wetu inavyopasa
Dunia nzima imetambua Magufuli alikua nani kwa watanzania, haijawahi kutokea Africa nzima mtu kuombolezewa kama Magufuli, watanzania hakika tumempa heshima yake stahiki
Kingine nimefarijika zaidi ni namna katika uhai wake tulimuonesha wazi wazi kwamba tunampenda sana na kutambua wazi thamani yake kwetu, hatujamsifia mema yake akiwa tayari mfu bali angali anaishi hivyo aliondoka akijua moyoni watanzania wananipenda
Kaondoka Jina lake likiwa tayari linaenziwa kama Magufuli Bridge kule Morogoro, JPM Bridge Busisi, Magufuli City Dodoma, Magufuli Terminal Dar, Magufuli Annex Chamwino etc
Binafsi Mungu anijalie wa kiume na mimi niweze kumuenzi kwa aina yangu
Magufuli utabaki moyoni mwangu daima sababu toka nimepata akili sijawahi kumlilia binadamu mwenzangu namna nimekulilia, nimempoteza mama yangu mdogo niliekua nikimuuguza juzi kati lakini sijadondosha hata tone la chozi ila Magufuli nimekulilia toka nimepokea taarifa mpaka dakika hii.
Hujafa wala hutokaa ufe, unaishi kwenye fikra zetu Daima.
Kama kweli hivi nawaza hivo pia, maana tarifa za huyu jamaa inaonesha mtu yupo ndani ya mfumo wa sirikaliMm wasiwasi wangu huyu kigogo ni mtu wa usalama anayecheza na akili za watu na kuwapima hayo ni mawazo yangu
Kigogo ana backup ya watu wakubwa tuu waliopo serikalin wanaompa taarifaaKama kweli hivi nawaza hivo pia, maana tarifa za huyu jamaa inaonesha mtu yupo ndani ya mfumo wa sirikali
Nimeambiwa kwamba stand yenyewe ipo kubwa sana ila haka ni ka stand ka zarura.Moja ya stand za BRT kule Mbagala, picha haijatoka vzr, ila wakuu hii stand tumepigwa.View attachment 1736723View attachment 1736724
Sent using Jamii Forums mobile app
BRT phase II ina hati chafu! Hii ndo ile main station ya Mbagala?Nimeambiwa kwamba stand yenyewe ipo kubwa sana ila haka ni ka stand ka zarura.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeambiwa kwamba stand yenyewe ipo kubwa sana ila haka ni ka stand ka zarura.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana co, haka ni ka sub stand tu kapo pale Zakhem ila nmeambiwa kubwa ipo.BRT phase II ina hati chafu! Hii ndo ile main station ya Mbagala?
watarudia tu! mbele ya Madam Suluhu!Hapana co, haka ni ka sub stand tu kapo pale Zakhem ila nmeambiwa kubwa ipo.
Sent using Jamii Forums mobile app
am very keen kn this mkuu yaan mama asiwasikilize awa media kuusu corona sisi watanzania tunajambo letummegundua bado hawavai barakoa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1478]
naangalia mapicha picha ya tukio ikulu