NEVER!The purge of magufuli's people has begun. The kikwete wing of the party is starting to make a comeback
Wakenya mnatamani enzi za JK zirudi ila ndio haiwezekani cz Magufuli kuna kitu kinaitwa uzalendo kakiingiza Tz.The purge of magufuli's people has begun. The kikwete wing of the party is starting to make a comeback
Mathare is better😆DAR-KEST-SLUMView attachment 1736561
Shamba la bibi linarejea.Wakenya mnatamani enzi za JK zirudi ila ndio haiwezekani cz Magufuli kuna kitu kinaitwa uzalendo kakiingiza Tz.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana ndugu kwa maneno ya faraja!Kaka tuendelee kumuenzi Magu,huu ndo muda tunaotakiwa tuwe na mshikamano wa nguvu kubwa naamini tutaweza tulimpenda Ila mwenyez mungu alimpenda zaidi jikaze bro tuko pamoja siku zote
Sasa dharura ya nini tena wakati ujenzi ndio wakati wake?Nimeambiwa kwamba stand yenyewe ipo kubwa sana ila haka ni ka stand ka zarura.
Sent using Jamii Forums mobile app
Adesanya last match alipigwa na mpolandHuyu Adesanya ni noma alafu kuna yule demu kama dume yule Mnigeria kila siku anawapiga wenzake, akikutia loba hutoki
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu mradi ukichunguzwa vzr una viashiria vya ufisadi huu.Sasa dharura ya nini tena wakati ujenzi ndio wakati wake?
Hiyo kubwa ipo stage gani ya ujenzi?
Jafo anataka wazalendo tumchukie
Hawa Sino ni takataka kabisa, Gondwe kashakuta madudu ya kutisha kwenye kazi yao mbovu, uchelewa na nyufa kwenye mradi nashangaa bado wanalelewa
. Huyu jamaa ni mtu makini na anaweza sana .watendaji wake tu wanamwangusha.. Cc The best 007
Huu mradi ni unakera sn unaenda slow sn.Hawa Sino ni takataka kabisa, Gondwe kashakuta madudu ya kutisha kwenye kazi yao mbovu, uchelewa na nyufa kwenye mradi nashangaa bado wanalelewa
Sasa hiyo permanent terminal ipo stage gani sababu tumeshaanza kummiss Magufuli mapema sana.
Kutovaa barakoa kashatuma ujumbe tosha.am very keen kn this mkuu yaan mama asiwasikilize awa media kuusu corona sisi watanzania tunajambo letu
Kutovaa barakoa kashatuma ujumbe tosha.
Mabeberu walitegemea baada ya kifo cha JPM na kuingiza propaganda ni covid imemuondoa sasa Tanzania nzima wangekua kwenye lock down, barakoa, sanitizer na mpango wa maandalizi ya vaccination upo kwenye kasi ya 5GKutovaa barakoa kashatuma ujumbe tosha.
Mimi sijawahi skia Afisa Ardhi kafutwa kazi pamoja na migogoro lukuki!Sio vzr kuongea mambo ya watu ila kuna jamaa yangu alinipa story moja hv kitambo kidogo, yeye alikuwa dereva nyumbani kwa Lukuvi, anakuambia kuna wakati alikuwa anamsikia anaongea na simu anasema "hii dili yule mkuda asijue ataharibu" huyo mkuda wanayemzungumzia ni Magufuli enzi hizo akiwa waziri wa ujenzi.
Unaambiwa hiyo ilikuwa michongo ya dili za dawa za kulevya makontena yanaingia, lkn kuna ishu zingine Magu alikuwa anasema "mama yangu hii hapana Mungu hapendi" japo jamaa aliniambia kuna dili ambazo Magu alikuwa anazikubali lkn zingine alishindwa kabisa kuvumilia na ndiyo maana baadhi ya mawaziri wakawa kama wanamkataa, kumbuka enzi hizo Magu ni waziri.
Jamaa yangu aliniambia Lukuvi alikuwa anarudi na mabegi ya pesa kila siku kwa dili haramu walizokuwa wanapiga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kuna vituo kama gerezani na kule ubungo naona ujenzi unaenda vizuri sijui kama Mkandarasi ndio huyo huyo