Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,400
- 7,610
Hajaongelea, ila hajajavaa barakoa Toka kuapishwa kwake.alisemaje mkuu nahisi sikuipata hii
Hajaongelea, ila hajajavaa barakoa Toka kuapishwa kwake.alisemaje mkuu nahisi sikuipata hii
Mkuu moja ya wizara ambazo ni ngumu hapa tz ni hii ya ardhi. Hii wizara according to Jakaya Kikwete hata Magufuli mwenyewe akiwa waziri wa ardhi during the Kikwete administration alikiri kuwa hii wizara ni ngumu sana. Mi siwezi kumuhukumu Lukuvi kwamba ni mzembe maana yeye ni waziri na maono na mipango ya wizara yake yake lazima ayapeleke kwa baraza la mawaziri na kwa rais pia. Hivyo inategemea na uwezo wa serikali katika kugharamia hiyo mipango hata kama ni mizuri vp.Aawapii kafanya nn meaningful zaidi ya porojo! nakumbuka alihaidi kupima ardhi nchi nzima na kuipa hati na kuwa na Landuse database for the whole country! Ila wapii hamna kitu mpaka sasa!? katika watendaji wabovu wa baraza la Mawaziri ni yeye!
Leo chamwino yote hakuna barakoa hata 1Hajaongelea, ila hajajavaa barakoa Toka kuapishwa kwake.
Ile propaganda ya kusema Magu kafa kwa covid imepigwa mweleka na mambo yote yaliyofanyika kwenye msibaMabeberu walitegemea baada ya kifo cha JPM na kuingiza propaganda ni covid imemuondoa sasa Tanzania nzima wangekua kwenye lock down, barakoa, sanitizer na mpango wa maandalizi ya vaccination upo kwenye kasi ya 5G
Wamepigwa kwanza na butwaa kwenye hilo nyomi la waombolezaji maelfu kwa maelfu ya watanzania tunamlilia shujaa wetu bila uoga wowote wa covid
Wamepigwa na butwaa family yote ya JPM, viongozi wa vyombo vya ulinzi na Rais hawana habari na protocols za covid
Yaani mpaka saivi wamechanganyikiwa wanasema hawa watu wa aina gani hawa?
Wewe pumbavu kweli! Ungejua Samia ni mtu wa JPM usingeongea umavi namna hii! Endelea na siasa zenu za ukabila!The purge of magufuli's people has begun. The kikwete wing of the party is starting to make a comeback
Ni hivi sijawahi skia Afisa Ardhi held accountable na huyu unayemtetea!Mkuu moja ya wizara ambazo ni ngumu hapa tz ni hii ya ardhi. Hii wizara according to Jakaya Kikwete hata Magufuli mwenyewe akiwa waziri wa ardhi during the Kikwete administration alikiri kuwa hii wizara ni ngumu sana. Mi siwezi kumuhukumu Lukuvi kwamba ni mzembe maana yeye ni waziri na maono na mipango ya wizara yake yake lazima ayapeleke kwa baraza la mawaziri na kwa rais pia. Hivyo inategemea na uwezo wa serikali katika kugharamia hiyo mipango hata kama ni mizuri vp.
Ila tuseme tu ukweli bila kuwa biased Lukuvi amejitahidi sana kutatua masuala mbalimbali ya ardhi ikiwemo migogoro ya wafugaji na wakulima hapa nchini. Hii wizara ina mambo mengi na madudu mengi sana yaliyosababishwa na serikali za awamu zilizopita ambayo kuyarekebisha itachukuwa muda mrefu sana na kwa gharama kubwa.
Mara nyingi sana huwa siwaamini viongozi waongeji sna linapokuja kwenye utendaji kazi. Huyu jafo japo anajitanabahisha kuwa mpambanaji lakini huwa sina trust sana naye. Yupo kisiasa sana kuliko kiutendaji na uajibikaji.mkuu ivi waziri wa tamisemi ndio jafo. ripoti ya CAG inaonyesha kuna mpunga mrefu tuu unapotea..
nahisi kuna siku kama skosei ulishalaumu hii tamisemi kutojiendesha kiufasaha ila ulipitia kwa juu juu sasa naona madudu yanaibuka.
Accountable kivipi? Ndio maana nikasema kwenye ardhi utakuta kuna matatizo lakini ukitrack back unakuta hilo kosa lilifanya hata wakati wa awamu ya pili au ya tatu sasa hapo utamuwajibisha nani? Kwenye hii wizara ndugu yangu kuna mambo mazito sna kuliko unavyodhani. Labda sema wewe ulitaka afanyeji ili aonekane amefanya kazi? Kuna watu wengine hawana utamaduni wa kijiproud sana wao ni kimya kimya tu.Ni hivi sijawahi skia Afisa Ardhi held accountable na huyu unayemtetea!
wacha wivu mshikaji mwache Jafo wewe unafikiri kujenga hospitali 92 na vituo vya afya 400+ ni kitu kirahisi enhee? na ukarabati wa shule kongwe? machinjio, stesheni za mabasi na masoko na dampo za manispaa? TARURA? miradii ya maboresho ya miji? kuwa na hati chafu ya halmashauri 8 kati ya 175+ si utendaji mbaya kiasi hicho!Mara nyingi sana huwa siwaamini viongozi waongeji sna linapokuja kwenye utendaji kazi. Huyu jafo japo anajitanabahisha kuwa mpambanaji lakini huwa sina trust sana naye. Yupo kisiasa sana kuliko kiutendaji na uajibikaji.
sema unatokea Iringa basi sio unaanza siasa za kutetea upuuzi wa Lukuvi! Yaani migogoro yote inayorindima ya Ardhi jamaa kwa miaka mitano kashindwa kufukuza kazi maafisa ardhi? hata JPM alisema siku za karibuni mtu kama Lukuvi hawezi kumrithi...Accountable kivipi? Ndio maana nikasema kwenye ardhi utakuta kuna matatizo lakini ukitrack back unakuta hilo kosa lilifanya hata wakati wa awamu ya pili au ya tatu sasa hapo utamuwajibisha nani? Kwenye hii wizara ndugu yangu kuna mambo mazito sna kuliko unavyodhani. Labda sema wewe ulitaka afanyeji ili aonekane amefanya kazi? Kuna watu wengine hawana utamaduni wa kijiproud sana wao ni kimya kimya tu.
Eboo🙄🙄🙄Nimecheka kama mwehu🤣🤣🤣Thread 'Kenya: Mbunge wa azindua runinga iliyotundikwa ukutani' Kenya: Mbunge wa azindua runinga iliyotundikwa ukutani
Mh, alisema nimejifunza kuto msifu mtendaji anayefanya vizuri, hii ni Second warning that means yuko vizur kuna vitu vya kurekebisha hii ni heri kwake kwasababu ameaminiwa tena.wacha wivu mshikaji mwache Jafo wewe unafikiri kujenga hospitali 92 na vituo vya afya 400+ ni kitu kirahisi enhee? na ukarabati wa shule kongwe? machinjio, stesheni za mabasi na masoko na dampo za manispaa? TARURA? miradii ya maboresho ya miji? kuwa na hati chafu ya halmashauri 8 kati ya 175+ si utendaji mbaya kiasi hicho!