Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wewe ni mpuuzi wa wapi kwani mama Samia si part y a Awamu ya tano? wacha kupotosha hebu muache afanye kazi yake!
Anapotosha nini sasa? Anaongea ukweli. Wapinzani watatumia hi kama lope hole ku degrade kazi ya JPM... mzee alikua mchapakazi kweli sema watu aliokua akifanya nao kazi wengine bado hawa kuwa wa adilifu lakini isiwe sababu ya ku down play what he did
 
Anapotosha nini sasa? Anaongea ukweli. Wapinzani watatumia hi kama lope hole ku degrade kazi ya JPM... mzee alikua mchapakazi kweli sema watu aliokua akifanya nao kazi wengine bado hawa kuwa wa adilifu lakini isiwe sababu ya ku down play what he did
Mna papara utafikiri mnataka kuzaa!
 
Nchi za Africa tunaweza kujifunza mengi kutokana na jinsi uchumi wa Singapore ulivyoendeshwa kuanzia 1960s hadi sasa
 
Back
Top Bottom