Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
wanafurahisha sana sijui huko kwao ni kazi gani inaombwa kwa mabango[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii ni Hali ya kawaida sana Kenya. When i was in Nairobi about a year ago, barabarani nilikuwa naona wakenya wengi tu wameshikilia mambango wanatafuta kazi. Yaani sijawahi kuona hii kitu Tanzania hata siku Moja.