Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
duuuuhh||||| aliyekyzaa kapata hasara bora angezaa panya angesaidia kutafuna nguo za ndaniNyie mtaenda SADC hko mkapore na wengine
Pombe hoyeee
duuuuhh||||| aliyekyzaa kapata hasara bora angezaa panya angesaidia kutafuna nguo za ndaniNyie mtaenda SADC hko mkapore na wengine
Pombe hoyeee
your welcom chiefWakenya msikimbie sasa. Nimeingia
Hata sisi tuko online. Wacha kusema kwamba mumetuwacha.Service zote TZ ni za kielectronic.
Tumewaacha mbalino.
Nitakutajia service kibao.
Tanzania passport system is very simple.
You can aply popote.
View attachment 1725585
Iko kihiace kinapiga route ndani ya cbd kabisa 😀😀Wala hamsimami, nyie mbn ni zaidi ya wazunguView attachment 1725285View attachment 1725289View attachment 1725292
ndio tumewaacha ila sababu we ni tomaso subiria kichapoHata sisi tuko online. Wacha kusema kwamba mumetuwacha.
Unaweza ukaomesha payment system ya serikali kama hii!? Mobile APP. Unatakiwa ukubaliane na hili. Tumewaacha mbali mno. Tafuta mtaalamu yeyote wa IT muulize.Hata sisi tuko online. Wacha kusema kwamba mumetuwacha.
Well the Kenyan guy i was with told me that it is a very common occurrence in Nairobi.Sijasema haifanyiki kabisa. Nimesema ni nadra. Kuna dhana unayojaribu kusema kwamba tabia hii kushika mabango ni common sana but sio common.
Alaf na debt to GDP ratio iko ngapi??🤣🤣Ksh 27 billion ni nini kwa nchi ambayo ina reserve zaidi ya ksh 700 billion?
Jengeni kwanza alaf uje uzungumze 😀😀88Nairobi construction progress. Ichoboy njoo utoe povu na machozi 😂
View attachment 1725476View attachment 1725477View attachment 1725478View attachment 1725480
To be done by March next year
Ndio povu lako lilipoishia🤣🤣🤣🤣Icho, hyo hata kw syokimau haingii
Wanakila sababu ya kumchukia magu🤣🤣electrical SGR Dar Terminal ni habari nyingine aisee...
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
new diesel engines for MGR
![]()
![]()
Nilishaipost huko nyuma nyuma. Sasa unataka kusema kwamba hukuiona?Unaweza ukaomesha payment system ya serikali kama hii!? Mobile APP. Unatakiwa ukubaliane na hili. Tumewaacha mbali mno. Tafuta mtaalamu yeyote wa IT muulize.
View attachment 1725613
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿li mwana ukome mwanawane 💖💖electrical SGR Dar Terminal ni habari nyingine aisee...
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
new diesel engines for MGR
![]()
![]()
wakunya saidianeni jamani wazee wa GDP uchumi mkubwa duniani,,,
ila huyu mkenya mwenzenu miguu imekosa afya imekaa kama miguu ya mbuziView attachment 1725487
ya Abiria .Ni rare sana. Tatizo ni kwamba inapofanyika lazima ifikie media. Hii niruhusu niite "media effect." Yaani jambo nadra likifanyika, media inaweza kui-amplify na kufanya watu wafikiri ni jambo common. Kwa mfano, watu wengi wanafikiri kuwa polisi wa Marekani wanauwa thousands of unarmed black men in America every year. Lakini ukiangalia data, utashangaa kuwa less than 200 unarmed black people are killed by police every year despite the fact that there are millions of interactions between police and black people. So watu 5 kwa mwaka wakishika mabango wote watarushwa kwenye media kwa sababu ni jambo nadra na linashangaza. Kama lingekuwa ni jambo la kawaida basi halingekuja kwenye media. When a dog bites you, that is not news (won't be written on newspapers.) But when you bite a dog, that is news ( It will be written on newspapers.)Well the Kenyan guy i was with told me that it is a very common occurrence in Nairobi.