Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

electrical SGR Dar Terminal ni habari nyingine aisee...
160405779_1393390887677274_318359701101334281_o.jpg



160296693_1393390237677339_1029784104715368007_o.jpg



160895531_1393391014343928_923498949669406357_o.jpg



160214763_1393391101010586_7262129133378785325_o.jpg



160995421_1393390641010632_2559557878796995222_o.jpg



new diesel engines for MGR
160449399_1393390417677321_678778161574038187_o.jpg



160379828_1393390294344000_3629827967475367250_o.jpg
 
Well the Kenyan guy i was with told me that it is a very common occurrence in Nairobi.
Ni rare sana. Tatizo ni kwamba inapofanyika lazima ifikie media. Hii niruhusu niite "media effect." Yaani jambo nadra likifanyika, media inaweza kui-amplify na kufanya watu wafikiri ni jambo common. Kwa mfano, watu wengi wanafikiri kuwa polisi wa Marekani wanauwa thousands of unarmed black men in America every year. Lakini ukiangalia data, utashangaa kuwa less than 200 unarmed black people are killed by police every year despite the fact that there are millions of interactions between police and black people. So watu 5 kwa mwaka wakishika mabango wote watarushwa kwenye media kwa sababu ni jambo nadra na linashangaza. Kama lingekuwa ni jambo la kawaida basi halingekuja kwenye media. When a dog bites you, that is not news (won't be written on newspapers.) But when you bite a dog, that is news ( It will be written on newspapers.)
 
Back
Top Bottom