Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya bwana eti Mombasa tuna jambo letu jingine pale Kamata Junction, Interchange nyingine ya kibabe kbs yaja imetengwa kbs na barabara nyingine za juu ndani ya Dar es Salaam,ukiona umeandikiwa mradi wa kielelezo kaa vizuri yajayo yanafusahisha. Hii ni ripoti ya ukomo wa bajeti iliyowasilishwa juzi tu na Waziri wetu wa fedha mzee wetu Daktari Phillip Mpango.Bado naendelea kuisoma kwa umakini mkubwa.View attachment 1725433
Hawa ndo walivyo hata SGR yao waliipigia sana kelele kabla ya hii ya kwetu kuanza kuonyesha superiority! Saa hii hata Nairobi Terminus haitajwi tena yaani imemanuliwa chalii na Magufuli bus terminal alone!

CC: Tony254 na Capt Richie
 
wakenya ni wapuuzi sana ramani ,mipaka kila kitu kinaelezeka hata kwa picha tu,,,,mnailalamikia ICJ kuwa inapendelea mnaomba poo eti mambo ya kesi ihairishwe kwa kizingizio cha corona,mnaomba jaji wa somali ajitoe ,,,

mmeshtukiwa hakuna cha kesi kuhairishwa kesi itaendelea kama kawaida jumatatu tena online
20210314_180002.jpg
20210314_175940.jpg
 
aliyekataa ni nani jamani,,mbona mi nimekubali kila kitu,,,,

unatatizo gani..?...labda naweza kukusaidia
Endelea kujitoa ufahamu tu, ila usijali hyo ndio hali kw sasa..
Ukubali, ukatae au basi ujitie hamnazo
 
wakunya saidianeni jamani wazee wa GDP uchumi mkubwa duniani,,,

ila huyu mkenya mwenzenu miguu imekosa afya imekaa kama miguu ya mbuziView attachment 1725487
Hii ni Hali ya kawaida sana Kenya. When i was in Nairobi about a year ago, barabarani nilikuwa naona wakenya wengi tu wameshikilia mambango wanatafuta kazi. Yaani sijawahi kuona hii kitu Tanzania hata siku Moja.
 
wakenya ni wapuuzi sana ramani ,mipaka kila kitu kinaelezeka hata kwa picha tu,,,,mnailalamikia ICJ kuwa inapendelea mnaomba poo eti mambo ya kesi ihairishwe kwa kizingizio cha corona,mnaomba jaji wa somali ajitoe ,,,

mmeshtukiwa hakuna cha kesi kuhairishwa kesi itaendelea kama kawaida jumatatu tena onlineView attachment 1725460View attachment 1725461
Umeona mpaka gani wa majini unaokatatiza vertically, yani hapo somalia ikishinda tu itabidi na sisi tunyakue mpaka pemba.
 
Hii ni Hali ya kawaida sana Kenya. When i was in Nairobi about a year ago, barabarani nilikuwa naona wakenya wengi tu wameshikilia mambango wanatafuta kazi. Yaani sijawahi kuona hii kitu Tanzania hata siku Moja.
Uongo mtupu. Nairobi kisanga kama hiki cha mtu kushika bango eti anatafuta kazi ni nadra sana.
 
wakenya ni wapuuzi sana ramani ,mipaka kila kitu kinaelezeka hata kwa picha tu,,,,mnailalamikia ICJ kuwa inapendelea mnaomba poo eti mambo ya kesi ihairishwe kwa kizingizio cha corona,mnaomba jaji wa somali ajitoe ,,,

mmeshtukiwa hakuna cha kesi kuhairishwa kesi itaendelea kama kawaida jumatatu tena onlineView attachment 1725460View attachment 1725461
Tunaikujia pemba wakishinda
images.jpeg-40.jpg
 
Hii ni Hali ya kawaida sana Kenya. When i was in Nairobi about a year ago, barabarani nilikuwa naona wakenya wengi tu wameshikilia mambango wanatafuta kazi. Yaani sijawahi kuona hii kitu Tanzania hata siku Moja.
Kwhyo km hujaona ndio hakuna hko kwenu, hzo kazi milioni 8 mlikua mna mtaka kuwapa akina nani
 
Back
Top Bottom