Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Sikilizeni hii video. Haki Wabunge wa Uganda wamelia kuhusu Kenya hadi nimehisi huruma.
Cc ichoboy01 Geza Ulole The best 007 tuusan
Cc ichoboy01 Geza Ulole The best 007 tuusan
Sikilizeni hii video. Haki Wabunge wa Uganda wamelia kuhusu Kenya hadi nimehisi huruma.
Cc ichoboy01 Geza Ulole The best 007 tuusan
Hhahaha. Uganda hawana ubavu huo. Wewe huoni jinsi wanatuogopa? Wabunge wao wanaongea kwa uwoga sana. Hata speaker wa bunge machozi yanamlenga lenga machoni. Lakini nimehisi huruma wao ni watu wazuri. Hatungeban mahindi yao maana wao wana uchumi mdogo na huwa hawatupigii kifua kama nyinyi. Nyinyi ndio mnastahili kufunzwa nani ni baba wa eneo hili. Hilo ban lilikuwa linawalenga nyinyi sio Uganda.We chekelea that Uganda can finya Kenya big time if they block u from using their land to reach DRC, Rwanda and Burundi ! Mind u they can choose to use central corridor too! BTW mnawapa reason to invest heavily in Tanga!
superpower anatishia kujamba wakati anaharaHaahhahaa.
Yaani kumbe Uganda pia walikuwa wanalia kuhusu maize ban. Wamelia sana. Tulikuwa tunataka kuwakumbusha majirani zetu nani ndio superpower wa ukanda huu. Mumepiga nduru mpaka tukawaonea huruma.









Pakawaida tu Au ww umeona nn apo cha kutisha?Hapa hatujawahi sikia makelele ya kijinga
Bamako View attachment 1723506View attachment 1723507View attachment 1723508View attachment 1723509View attachment 1723510View attachment 1723511View attachment 1723512View attachment 1723513View attachment 1723514View attachment 1723515View attachment 1723516
Watu 200M hawa jamaa wanafurahisha sanaNigeria inatuaibisha. Nchi kubwa lakini inagenerate 5,000 MW pekee. Blackouts kila siku. Wananchi wengi wanatumia generator.
Ichioo mbona twitter yangu inagom ku log in na hata nikijaribu kufungua nyingine inazingua
Baba wa eneo hili ni Tz au hautaki mbona mmeondoa sasa mtakufa njaa.Hhahaha. Uganda hawana ubavu huo. Wewe huoni jinsi wanatuogopa? Wabunge wao wanaongea kwa uwoga sana. Hata speaker wa bunge machozi yanamlenga lenga machoni. Lakini nimehisi huruma wao ni watu wazuri. Hatungeban mahindi yao maana wao wana uchumi mdogo na huwa hawatupigii kifua kama nyinyi. Nyinyi ndio mnastahili kufunzwa nani ni baba wa eneo hili. Hilo ban lilikuwa linawalenga nyinyi sio Uganda.
Kenya ndio huwa inarusha makonde kwa majirani, hakuna siku majirani wamepata ubabe wa kulianzisha. Sisi ndio huwa tunalianzisha kila siku maana tuna ubavu huo na uwezo huo. Tanzania hata this time haikulipiza kisasi. Hio ni evidence tosha nani ndio superpower ukanda huu. Lakini kwa upande mwingine ni vizuri Kenya iwache ubabe iishi kwa amani na majirani zake. Sio vizuri maana hizi trade war zinaweza kuback-fire.
Use VPN.Ichioo mbona twitter yangu inagom ku log in na hata nikijaribu kufungua nyingine inazingua
Bado ni mjinga anae ishi kwenye emotional instead of deep thinkingKama kukopa kulileta nafuu ya maisha kwa watu kuna shida gani?
Kukopa na kujenga miradi ya kipuuzi isiyo na tija wala kuchochea uchumi kuna maana gani?
Kuna serikali iliyokopa kama hii baada ya Nyerere? Na mnakopa kujenga ushuzi huko Chato mara stendi mara ndege mara madaraja ya kuvuka maziwa
Kwa hiyo hiyo ndio scale of preference yenu ,reasoning yenu iko based kwenye emotions na feelings kuliko kufanya economic thinking
We don't eat madaraja and such upuuzi tunataka ajikite kwenye welfare economics..
Afu na wewe mchumi feki kasome Behavioral economics ikusaidie kudhibiti mihemko wakati wa kujenga hoja za kiuchumi
Slogan tuliyotumia hapa ni "Chizi akikunyang'anya taulo usimkimbize, nenda chumbani kavae nguo"Kenya ndio huwa inarusha makonde kwa majirani, hakuna siku majirani wamepata ubabe wa kulianzisha. Sisi ndio huwa tunalianzisha kila siku maana tuna ubavu huo na uwezo huo. Tanzania hata this time haikulipiza kisasi. Hio ni evidence tosha nani ndio superpower ukanda huu. Lakini kwa upande mwingine ni vizuri Kenya iwache ubabe iishi kwa amani na majirani zake. Sio vizuri maana hizi trade war zinaweza kuback-fire.
Bwahahaha!!umekasirika, wasafi inawenyewe mzee baba..jitihada za mtu siku zote ndiyo humnyanyua endelea kujidanganya kwa kujifurahisha....
evidence huna,kama una pesa andaa show kisha muite uone atakutoa kiasi gani cha pesa,
kwanini wasiwekwe sauti soul...?,,,,,kisha radio tukaiipa jina la SAUTO SOUL FM![]()

Imeingia hyo, na bado kisha..Kwa sababu wakenya wanamuogopa Magufuli kuliko wanavyomuogopa Mungu wao
Hamna hela yyte nyie, show za ndani mnalipana peanuts kabisa aisee..Zuchu toka atoke hajawahi perform njeya Tanzania na hakuna mwanamuziki yeyote Kenya anaemfikia
Shows za tumewasha tu countrywide huwezi linganisha na show yoyote Kenya, Tanzania kila kitongoji wanajimudu kulipa mkwanja wowote kwenye show ya msanii yoyote, Kenya msanii wa kikikuyu frequency zake mwisho ukikuyu
By the way wasanii wetu wanafanya show mpaka ulaya na marekani.Hamna hela yyte nyie, show za ndani mnalipana peanuts kabisa aisee..
Diamond mwnywe analijua hilo, wasaanii wenu show za ndani tsh 10m per show ni balaa alafu uje ulinganishe na show za ndani kenya
Mbona unalialia jomba, au unafikiria wale wazee pembeni wameenda kukenua meno tuHebu peleka ufala wKo uko ,hujui kitu kaa kimya pungu wewe

