Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Walizusha wameumbuka mpango huyo hapo dodoma 🤣🤣👇👇👇

Mzee wenu ni mgonjwa. Ni kweli hayuko Kenya lakini anaugua. Kama hangekuwa mgonjwa angekuwa amejitokeza sasa hivi. Namuombea apone haraka ili arudi kuchapa kazi.
Sasa umekiri kwamba hayupo kenya asante sana 😀😀😀😀😀
 
EwN9byWWEAMOykB
 
Mzee wenu ni mgonjwa. Ni kweli hayuko Kenya lakini anaugua. Kama hangekuwa mgonjwa angekuwa amejitokeza sasa hivi. Namuombea apone haraka ili arudi kuchapa kazi.
Politicians wenu wassenge sana, wametengeneza kiki ya kuwasahaulisha scandal za mahindi na wananchi wenu walivyo mapunga zaidi wakajaa
 
Mziki wa tz bila show za nje utakufa mskini
Zuchu toka atoke hajawahi perform njeya Tanzania na hakuna mwanamuziki yeyote Kenya anaemfikia

Shows za tumewasha tu countrywide huwezi linganisha na show yoyote Kenya, Tanzania kila kitongoji wanajimudu kulipa mkwanja wowote kwenye show ya msanii yoyote, Kenya msanii wa kikikuyu frequency zake mwisho ukikuyu
 
Back
Top Bottom