Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Any thing about Magufuli is big News in Kenya, kweli Magufuli ni rais wa Tanzani na Kenya kwa pamoja, wakenya mnafuatilia habari za Magufuli kuliko habari za kiongozi yeyote duniani kwa sasa
Nyinyi ni jirani zetu ndio maana tunafuatilia mambo yenu kwa karibu. Kwani ulikuwa unadhani sisi tutafuatilia mambo ya North Korea kushinda mambo ya Tanzania?
 
Bodaboda wa Kenya huwa wamekuwa kama vigilante. Yaani ukiwa unaendesha gari omba Mungu usigonge mmoja wao. Maana ukigonga mmoja wao wanakuja wengi kama nzi wanataka kukupiga.
Failed state Indeed 🙂
Anyone can do whatever they want msemo wenu hakuna mahali utanipeleka🙂
 
zaidi ya 35.
nimesoma shuleni zaidi ya miaka 17 iliyopita kulikuwa na mikoa 26.

baada ya hapo imekuwa ikigawanywa ile mikubwa zaidi,na kuzaliwa mikoa mingine.
Imebidi niende google maana isipokuwa wewe uliyejaribu, Malazy wengine ni vilaza wasiojua chochote kuhusu nchi yao.
Tanzania ina mikoa 31 sasa hivi
Screenshot_20210312-110524.jpg
 
Nigeria inatuaibisha. Nchi kubwa lakini inagenerate 5,000 MW pekee. Blackouts kila siku. Wananchi wengi wanatumia generator.
nigeria wala sio kubwa kieneo,haipishani na TZ sana.

wao wana watu wengi tu hiyo ndio tofauti yao na sisi.ndio maana sisi tunahangaika kuzalisha umeme zaidi.

ajabu anakuja mpuuzi mmoja kutoka kenya anasema umeme utazalishwa mwingi ukose matumizi.
 
nigera wala sio kubwa kieneo,haipishani na TZ sana.

wao wana watu wengi tu hiyo ndio tofauti yao na sisi.ndio maana sisi tunahangaika kuzalisha umeme zaidi.

ajabu anakuja mpuuzi mmoja kutoka kenya anasema umeme utazalishwa mwingi ukose matumizi.
Nikisema Nigeria ni kubwa namaanisha in terms of Gdp na population. Hata kieneo sio ndogo sana.
 
Back
Top Bottom