Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwn wewe Magu amekufanya nn mana unamchukia kuliko yule jamaa aliyekubaka, Magu co Rais wako lkn huishi kumwish mabaya, Wakenya mnashangaza mno mno mno, Rais co wenu iweje mumchukie? Hivi Watz hizi chuki za Wakenya dhidi ya Rais wetu mnadhani zinaashiria nini?
Wivu hamna zaidi ya hicho😀huyu ni wakupuuzwa 😀wakenya wengi Wana wish Angekua Rais wao Ila basi 😀 ignore the fool😀
 
Magufuli ninavyomjua hawezi kumwachia mdogo wake azinduwe miradi. Anapenda kupata sifa kwa hivyo yeye huwa anataka azinduwe miradi zote. Hivi leo itakuwaje ameshindwa kuzindua hizi miradi amemwachia mdogo wake?
Pitia youtube uone miradi mingi PM akiitembelea na kuizindua JPM utamuona Kampala wiki hii! Na kuna uwezekano deal la LNG likatangazwa!
 
😎😎

giphy.gif


 
Kwn wewe Magu amekufanya nn mana unamchukia kuliko yule jamaa aliyekubaka, Magu co Rais wako lkn huishi kumwish mabaya, Wakenya mnashangaza mno mno mno, Rais co wenu iweje mumchukie? Hivi Watz hizi chuki za Wakenya dhidi ya Rais wetu mnadhani zinaashiria nini?
Unadhani wanapenda speed anayokwenda nayo JPM.

Unadhani wanapenda upanuzi unaoendelea kwenye bandari zote za Tanzania.

Unadhani wanapenda dili la EACOP.

Unadhani wanapenda Tanzania kujenga SGR tena ya umeme itakayo unganisha Tanzania na nchi za jirani.

Unadhani wanapenda mradi mkubwa wa bwawa la kufua umeme unaojengwa.

Unadhani wanapenda JPM kufufua ATCL.

Unadhani wanapenda zile tit for tat.

Unadhani wanapenda viwanda vipya vinavyo jengwa na zingine kufufuliwa.

Unadhani wanapenda madaraja makubwa yanayojengwa Tanzania halafu kwao imekuwa ahadi isiyotimia.
 
Unauendekeza huu upumbavu wa kitoto? Kwahiyo hata akisema baba ako jana alibakwa alipokuwa amelewa utaamini?

Mtu anaongea tu pasipo evidence, yn mtu akifa tu basi corona, yeye alienda hospitali kuthibitisha kwamba aliyekufa ni corona? Kwa misiba ya corona aliyotangaza huyo jamaa mpk ss basi ingekuwa Watz wote humu tushakufa Mana ni mingi kuliko iliyotokea USA na Italy combined
 
Unauendekeza huu upumbavu wa kitoto? Kwahiyo hata akisema baba ako jana alibakwa alipokuwa amelewa utaamini?

Mtu anaongea tu pasipo evidence, yn mtu akifa tu basi corona, yeye alienda hospitali kuthibitisha kwamba aliyekufa ni corona? Kwa misiba ya corona aliyotangaza huyo jamaa mpk ss basi ingekuwa Watz wote humu tushakufa Mana ni mingi kuliko iliyotokea USA na Italy combined
😎😎

09.03.2021
 
Kama kukopa kulileta nafuu ya maisha kwa watu kuna shida gani?

Kukopa na kujenga miradi ya kipuuzi isiyo na tija wala kuchochea uchumi kuna maana gani?

Kuna serikali iliyokopa kama hii baada ya Nyerere? Na mnakopa kujenga ushuzi huko Chato mara stendi mara ndege mara madaraja ya kuvuka maziwa

Kwa hiyo hiyo ndio scale of preference yenu ,reasoning yenu iko based kwenye emotions na feelings kuliko kufanya economic thinking

We don't eat madaraja and such upuuzi tunataka ajikite kwenye welfare economics..

Afu na wewe mchumi feki kasome Behavioral economics ikusaidie kudhibiti mihemko wakati wa kujenga hoja za kiuchumi
You are nothing but a stupid coward!
 
Haahhahaa.
Yaani kumbe Uganda pia walikuwa wanalia kuhusu maize ban. Wamelia sana. Tulikuwa tunataka kuwakumbusha majirani zetu nani ndio superpower wa ukanda huu. Mumepiga nduru mpaka tukawaonea huruma.
 
Haahhahaa.
Yaani kumbe Uganda pia walikuwa wanalia kuhusu maize ban. Wamelia sana. Tulikuwa tunataka kuwakumbusha majirani zetu nani ndio superpower wa ukanda huu. Mumepiga nduru mpaka tukawaonea huruma.
Hata we mwenyewe hapo ulipo unaona aibu baada ya kugundua mnaongozwa na serikali ya kihuni isiyo na msimamo.
 
Back
Top Bottom